• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Watoto 93,218 kupatiwa chanjo ya matone ya Polio Jijini Arusha, DC Mtanda awataka wazazi kutoa Ushirikiano

Posted on: September 1st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Said Mtanda amesema kuwa polio hupelekea ulemavu wa viungo au kushindwa kutembea hivyo ni lazima wazazi na walezi wawapeleke watoto wao kupata chanjo ya polio.

Mtanda aliyasema hayo leo Septemba Mosi, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya matone ya ugonjwa wa polio kwa watoto chini ya miaka mitano iliyofanyika kituo cha afya Cha Levolosi.


Alisema chanjo hiyo ni salama na ni njema kwa watoto walio chini ya miaka mitano huku akisisitiza kuwa chanjo hiyo ni salama na bora kwa afya za watoto. 

Alitoa rai kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii kushirikiana na serikali katika zoezi hilo la utoaji chanjo hiyo ya polio na kuongeza kuwa kampeni hiyo ya uchanjaji itavuka lengo ili kila mtoto apate haki yake muhimu ya kiafya. 

Alisema serikali inajitajidi kuboresha vituo mbalimbali vya afya ikiwemo maboresho ya huduma za afya kituo cha Levolosi kwani serikali imetoa sh,milioni 500 kwaajili ya kufanya maboresya huduma za afya chakushangaza hela zimekuja lakini hakuna utekelezaji wowote wa maboresho ya huduma za afya. 

Alisema inashangaza kuona hela hazijaanza kutumika na wanaambiwa waombe upya, alisisitiza kuwa hatakubali kuona hela zipo lakini utekelezaji wake hakuna. 

"Mnaomkwamisha Rais Samia Hassan Suluhu mpo hapa Levolosi na nawaambia tekelezeni majukumu yenu haiwezekani fedha iwepo halafu ikae wee bila kutumika halafu tunaambiwa tuombe tena yani hela imekaa wee bila utekelezaji kwanini nitachukua hatua"

Awali,Kaimu Mganga Mkuu wa Jiji la Arusha Dk,Baraka Munde alisema kampeni hiyo ya kitaifa ya Polio inaanza Septemba 1 hadi 4 huku watoto 93,218 wakichanjwa na kupewa dozi hiyo ya polio.

Walengwa kwa siku ni vituo 64 vitatoa chanjo hizo huku dozi 94,000  zikitarajia kutolewa katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha.

Aliomba wazazi na walezi kupeleka watoto katika vituo vya afya kwaajili ya kupata chanjo hiyo ya Polio. 

Nao baadhi ya wazazi walioshiriki chanjo hiyo ya matone ya polio Lilian Lucas na Julian Samweli waliishukuru serikali kwa kuhakikisha inawakinga watoto hao na ugonjwa huo. Zoezi hilo linafanyika nyumba kwa nyumba ikiwemo vituo mbalimbali vya afya vya Jiji la Arusha. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa