• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Watumishi wa Umma Jiji la Arusha watakiwa kuwa watenda haki na wawajibikaji wanapowahudumia wananchi

Posted on: September 24th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Serikali imewataka Watumishi wa Umma Jiji la Arusha kufanya kazi kwa uwajibikaji na kwa kutenda haki kwa nafasi zao wanapowahudumia wananchi ili kuwaletea maendeleo ya kweli.

Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deo Ndejembi (Mb) wakati wa kikao na Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji hilo.

Mhe. Ndejembi amewataka watumishi hao kutoa huduma kwa kujitoa kwa asilimia mia moja huku akisema kuwa jukumu kubwa na la msingi la watumishi hao ni kutumikia wananchi na kutoa huduma zilizotukuka.

"tunachosema, hasa ninyi mnaokaa Makao makuu ya Mikoa na Miji na Majiji hebu toeni utumishi wa Umma asilimia mia moja na kazi yenu ya msingi ni kutumikia wananchi na kazi ya serikali ni kutoa huduma iliyotukuka hivyo nanyi toeni huduma zilizotukuka" alisema Mhe. Ndejembi. 

Aidha Mhe. Ndejembi amewataka watumishi hao kutenda haki kwa kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ni Serikali yenye kupenda haki na hivyo kuwaasa kutenda haki katika majukumu yao wanayoyatekeleza.

Kimsingi Mhe. Ndejembi amewasisitiza watumishi hao kuheshimu mamlaka walivyo nayo kwa kuwa mfano bora katika utekelezaji wa majukumu yao kwani kwa kufanya hivyo kutailetea Serikali taswira nzuri kwa wananchi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Sophia Mjema amemshukuru Mheshimiwa Naibu Waziri kwa nasaha zake kwa Watumishi hao na kusema kwamba ni muda sasa wa kuchapa kazi kwa ushirikiano na kwa weledi na hatimaye kuwaletea wananchi wa Jiji la Arusha maendeleo.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa