• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wenyeviti mitaa 10 wapita bila kupingwa

Posted on: July 3rd, 2021

Wenyeviti mitaa 10 wapita bila kupingwa 

Na Mwandishi wetu

WENYEVITI  10 wa serikali za mitaa katika Halmashauri ya Jiji la Arusha jana wamekula kiapo baada ya kupita bila kupingwa katika uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi zilizo wazi uliotakiwa kufanyika Julai Mosi mwaka huu.

Wenyeviti hao baada yakuapishwa na Kamishina wa viapo Wakili Sifael Kulanga ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Jiji la Arusha katika kiapo waliahidi kufanya kazi kwa uadilifu .

Msimamizi wa uchaguzi mdogo Jimbo la Arusha Dk.John Pima aliwataka viongozi hao  kuheshimu watu wanaowangoza na kuepuka kujiinua  kwa sababu Rais Samia Hassan Suluhu hataki viongozi wanaojikweza.

Alisema kitu cha msingi wanatakiwa kufanya kazi lwa ufasaha kwa kutekeleza kazi za wananchi.

"Nyie ni mabalozi wa serikali tushirikiane tufanye kazi kwa pamoja hata mnapokwenda huko maeneo yenu mkazingatie maelekezo yaliotolewa na viongozi wetu wa semta ya afya na mkajiadhari,"alisema.

Aliwasisitiza kuhakikisha wanahimiza wananchi wao kusimamia na kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa kuepuka mikusanyiko, kutumia maji tiririka na kuvaa barakoa.

"Wekeni vitakasa mikono katika ofisi zenu na msiende kuelimisha juu ya hili kwa vitisho na msifukuze watu kwa kutovaa barakoa kwenye ofisi zenu bali waelimisheni, hili ndio jukumu lenu na gonjwa lipo na sisi muingiliano wetu mkubwa na nchi jirani,"alisisitiza.

Dk.Pima alisema walitoa fomu 37 na wenye sifa 27 walionekana na sifa ya kuendelea na uchaguzi wa vyama mbalimbali vya siasa, lakini baadaye mida ulipokaribia walijiondoa katika konyang'anyilo hicho.

Katibu wa Wilaya ya Arusha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Denis Mwita alisema jatima kinyanganyilo hicho walijitokeza wagombea 41 kati yao wanawake sita lakini walioshindwa wanawake wawili na wanaume nane.

Aliwapa pongezi walioshindwa uchaguzi huo kwani kwa chama uchaguzi ni uchaguzi hawana  mdogo wala mkubwa,hivyo wao kama chama walijiandaa vema.

"Nendeni mkatunze hadhi ya chama na kuwatumikia wananchi epukeni kujiingiza kwenye ubadhirifu wa kuuza ardhi za wananchi au kujiingiza kwenye migogoro isiyofaa,"alisema.

Pia aliomba Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kutafakari juu ya kuwalipa posho na kuwanunulia vitendea kazi,wenyeviti wa mitaa ili kuwapa moyo wa tendaji kazi humo walipo.

Naye mmoja wa wenyeviti hao Abdallah Mgongo wa Mtaa wa Olmokea alisema atahamasisha wananchi kudumisha amani na utulivu pamoja na kuboresha miundombinu.

Mitaa iliyopata wenyeviti baada ya kupita bila kupingwa ni Mtaa wa Goliondoi Kata ya Sekei,Olmatejo B Kata ya Sakina, Kwamrefu Kata ya Baraa,Kirika B Kata ya Osunyai Jr huku mtaa wa Olkung'u na Erangau kata ya Terrat,Darajani Kata yaUngaltd,Saccon Kata ya Elerai,Block C  Kata ya Engutoto na Olmokea Kata ya Sinon. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa