• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Zaidi ya familia 6,000 za kifugaji kunufaika na mradi wa TERRA

Posted on: September 20th, 2017

Shirika lisilo la kiserikali la OIKOS limezindua mradi wa TERRA unaofadhiliwa na Taasisi ya Maendeleo na Ushirikiano ya Italy unaogharimu zaidi ya Sh. Bilioni Tatu za Kitanzania wenye lengo la kusaidia jamii za wafugaji kuboresha mbinu za uhifadhi wa chakula katika mkoa wa Arusha na kuweza kupata suluhisho la kudumu juu ya madhara yatokanayo na mabadiliko ya hali ya hewa ambapo utaangazia hasa juu ya utunzaji wa ardhi, njia mbadala za vyanzo vya nishati, kilimo kinachozingatia majira ya nchi, kuinua kiwanda cha ngozi zitokanazo na wanyama kwa ajili ya vizazi vijavyo, kuhifadhi maeneo ya malisho ya mifungo na kuinua uelewa katika jamii.

Mradi huo uliozinduliwa leo Jana 14.09.2017 kwenye kituo cha mafunzo cha Mkuru kilichopo katika  kijiji cha Uwiro ulihudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Mrisho Mashaka Gambo ambaye ndiye mgeni rasmi, Balozi wa Italy Mh. Roberto Mengoni, wakurugenzi wa Halmashauri zote tatu zinazohusika na mradi huo ambazo ni wilaya ya Arusha, Meru na Halmashauri ya Jiji la Arusha ambapo katika miaka mitatu ijayo zitaweza kuanza kazi rasmi na kampuni ya OIKOS katika kuhakikisha kazi za mradi zinatekelezeka kikamilifu.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Mrisho Gambo amesema kuwa anaunga mkono jitihada za dhati zinazofanywa na kampuni ya OIKOS katika kusaidia wakazi wa Arusha na pia ameomba miradi iendelezwe na kusimamiwa vizuri ili iweze kuwanuafaisha wakazi wa Arusha na kufikia Tanzania ya viwanda kama kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania inavyosisitiza.

“Ninayo furaha kubwa kusapoti mradi huu wa TERRA unaofadhiliwa na Taasisi ya maendeleo na ushirikiano ya Italy, hiki ni moja ya kiashiria kikuu cha ushirikiano thabiti baina Ulaya na Tanzania. Mradi huu hauhitaji pesa pekee katika kuufanikisha bali pia unahitaji umoja na mshikamano katika jamii katika kuleta mabadiliko” alisema balozi wa Italy Mh. Roberto Mengoni katika risala yake.

Aidha baada ya uzinduzi huo viongozi wote kutoka katika kampuni ya OIKOS wakiambatana na balozi wa Italy, mkuu wa mkoa, wakurugenzi na wageni wengine walipata nafasi ya kwenda kutembelea banda wanalotumia wakazi wa kijiji cha Uwiro kuhifadhia ngozi linalomilikiwa na kampuni hiyohiyo ya OIKOS chini ya mradi wa ECO-BOMA na kujionea bidhaa ghafi zinazotokana na ngozi kama ngoma na viatu vya asili sambamba na zoezi la kupanda miti lililofanywa kikamilifu na Balozi wa Italy na mkuu wa Mkoa wa Arusha kama kiashiria cha utunzaji wa mazingira.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa