• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Zaidi ya Milioni 600 kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya elimu Jijini Arusha

Posted on: April 29th, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Arusha

Mkoa wa Arusha umepata fedha  Kiasi cha shilingi Bilioni 1. 372  kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule ikiwemo vyumba vya madarasa, ujenzi wa vyoo  na mabweni 4 katika Shule ya sekondari Arusha girls iliyopo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na Shule ya Sekondari ya Florian iliyopo Wilayani karatu. 

Akizungumza katika hafla ya Kusainisha  mikataba ya kusimamia ujenzi huo iliyofanyika mapema leo Aprili 29,2023, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongela Amesema mkoa wameamua kusainishana mikataba ya ujenzi huo na wahusika wakuu ambao ni mkuu wa wilaya ya karatu , Mkurugenzi wa Jiji la Arusha na wakuu  wa shule hizo. 

Mhe. Mongella amesema  kazi za ujenzi wa shule hizo zinatakiwa kukamilika ndani ya siku 90  na vigezo vyote vinavyohitajika kwenye ubora wa majengo vimeainishwa kwenye mkataba huo .

"Rais wetu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan anaendelea kuleta fedha kwa ajili ya kuimarisha sekta ya hii nyeti ya elimu na mnajua kwenye mkoa wetu tulishapokea Awali  Bilioni 6.8 Mpango  wa Boost Sasa tumepata kwenye sekondari hizi  mbili kwa msimu huu " alisema Mongella. 

Pia amewataka wakuu wa shule hizo kutumia vizuri fedha walizopatiwa na kufuata maelekezo yaliyotolewa ya Ujenzi wa shule zenye  viwango bora na ujenzi wa uhakika kwakuwa fedha walizopatiwa zinatosheleza mahitaji ya ujenzi hadi kukamilika. 

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji  la Arusha Hargney Chitukuro amesema wapokea Kiasi Cha fedha shilingi milioni 679.1  kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 15, mabweni 2 na matundu ya vyoo  21 kwenye Shule ya Arusha Girls sekondari. 

"Nitakwenda kusimamia kwa kushirikiana na wenzangu kuhakikisha kwamba fedha Hizi zinakamilisha ujenzi wa miundombinu hii niliyoisema Kama ambavyo imepangwa nasio vinginevyo na tutaikamilisha kwa ubora na Kwa wakati "amesema Chitukuro. 

Aidha Chitukuro ameishukuru  Serikali kwa kiasi hicho cha fedha walichokipata kwakua msimu watakao ripoti  wanafunzi wa kidato cha tano mwezi Julai mwaka huu watakuta miundombinu  bora Shuleni. 

Kwa upande wake Afisa Elimu wa Mkoa wa Arusha Mwl. Abeli Ntupwa  ameeleza kuwa fedha hizo zimelenga  kuandaa mazingira bora ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha tano ambao wanatarajiwa kuripoti Shule kwanzia mwezi Julai mwaka huu.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa