• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO 2023/2024 JIJINI ARUSHA

Posted on: March 3rd, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Arusha 

Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe amesema kwa  mwaka wa fedha wa 2023/24 Halmashauri ya Jiji hilo imepitisha  bajeti ya kiasi cha shilingi bilioni 60.6 ambapo ni ongezeko mara mbili ya bajeti waliyokuwa nayo ya shilingi bilioni 30.5 kwa mwaka wa fedha 2022/2023 

Ameyasema hayo  wakati akizungumza na Waandishi  wa Habari mapema Leo ofisini kwake Jijini Arusha  na kusema kuwa  Kutokana na ukuaji wa biashara na mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara  wa Jiji la Arusha makusanyo ya Halmashauri ya Jiji hilo  yamepanda kwa asilimia miamoja kutoka bilioni 30.5  hadi shilingi   bilioni 60.6. 

Meya Iranqhe amebainisha kuwa ongezeko hilo la mapato  limetokana   na jitihada kubwa zinazofanywa na wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na viongozi wao. 

Amesema katika bajeti hiyo ya shilingi bilioni 60.6 wameweka mikakati ya asilimia  80 ya fedha hizo kuwa  zitaenda kwenye miradi ya maendeleo badala ya asilimia 70 ya hapo  awali iliyokuwa ikienda kwenye miradi ya maendeleo ambapo bilioni 26.2  sawa  na asilimia hamsini  zikienda kwenye kundi la huduma za kiuchumi zinazo  changia kuingiza mapato katika halmashauri. 

Sambamba na hayo Mstahiki Meya amebainisha kuwa asilimia 50  ya bajeti hiyo ya shilingi bilioni 60.6 itaenda kwenye huduma za kijamii ikiwemo elimu na afya ili kutatua changamoto zilizopo na Watahakikisha shule zinakuwa bora na vituo vya huduma za afya zitakuwa na dawa za kutosha. 

Aidha, Mstahiki meya ameeleza kuwa halmashauri hiyo itawachukulia hatua wale wote watakao bainika kucheza na mapato ya halmashauri ya Jiji hilo. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa