• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Zaidi ya TSH: 270,000,000/= kutolewa kwa vikundi vya kina mama,Vijana na Walemavu Halmashauri ya Jiji la Arusha

Posted on: July 31st, 2018

Halmashauri ya Jiji la Arusha inatarajia kutoa zaidi ya Tsh. milioni 270 kwa ajili ya vikundi vya kina mama, vijana na walemavu katika robo ya kwanza kwa  mwaka wa fedha 2018/2019  ikiwa ni asilimia 10 ya mapato ya ndani.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Arusha Ndg. Grayson Orcado ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ghafla ya mafunzo ya ujasiriamali kwa walengwa wa mikopo yaliyofanyika hapo jana katika ukumbi wa shule ya msingi Arusha.

AIdha Kaimu Mkurugenzi alitoa rai kwa Walengwa hao wa mikopo kuwa fedha wanazopatiwa sio msaada bali zinatakiwa kurejeshwa kwa wakati na kuzifanyia shughuli zilizokusudiwa kwa ajili ya kujiletea maendeleo binanfsi na Taifa kwa ujumla.

“Mafunzo haya yanalenga kuwawezesha wanawake, watu wenye ulemavu na vijana na jamii kwa ujumla kuweza kujiajiri. kuwafanya wanawake na vijana watambue wajibu wao katika kujiletea maendeleo na kuifanya jamii kutambua fursa mbalimbali zilizo za halali katika maeneo yanayowazunguka.” Alisema Ndg. Orcado.

Naye Kaimu  Mkuu wa idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Tajieli Mahega amevipongeza vikundi vilivyopita katika mwaka wa fedha 2017/2018 kwa kurejesha fedha kwa wakati hali iliyochaingia  kufanikisha zoezi la utolewaji wa mikopo kwa mwaka huu mpya wa fedha tulionao.

“vikundi vimeweza kujipatia maendelo ya wao wenyewe  kwa kufanya biashara ndogondogo na hivyo wameweza kujikimu katika malazi, chakula na mavazi. wanawake, walemavu na vijana wa jiji la Arusha wanaheshimika kwa kuwa sasa wanao uwezo wa kufanya biashara na kupata fedha za kujikimu” alisema Bi. Tajiel wakati akisoma taarifa yake kwa mgeni rasmi.

Jumla ya vikundi vinavyotarajia kupata mkopo huo ni 55 ambapo vya wanawake ni 34 na vijana ni 21.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa