• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ZIARA YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS TAMISEMI JIJINI ARUSHA KUKAGUA MRADI WA HOSPITALI YA WILAYA

Posted on: July 9th, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani Jafo aeleza kuridhishwa na utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa katika mradi wa Hospitali ya Wilaya ya Arusha kufuatia ziara aliyoifanya awali Jijini Arusha mnamo Tarehe 23 Desemba 2019 alipotembelea mradi wa ujenzi wa wodi ya mama na mtoto mapema leo Tarehe 09 Julai 2020.Mhe. Jafo ameeleza kuwa kufuatia jengo la kuhudumia wagonjwa wa nje kukamilika ujenzi wake, amefurahishwa kuona huduma zimeanza kutolewa katika jengo hilo na kutoa maelekezo kwa kaimu mhandishi wa Jiji Samweli Mshuza kuhakikisha majengo yaliyosalia nayo yanakamilika na huduma zianze kutolewa kwa wananchi kwani ndio lengo kuu la mradi huo.Mhe. Jafo ameeleza kuwa pamoja na majengo mengine ya wodi ya mama na mtoto kuendelea na ujenzi mkandarasi wa mradi huo BQ Contractors Limited asipewe nyongeza ya muda ili kukamilisha mradi kwani kipindi cha nyongeza kimekwisha hivyo mkandarasi anapaswa kukatwa malipo yake asilimia zitakazokuwa zimeainishwa kwenye mkataba wa mradi alioingia na Halmashauri ya Jiji kama ilivyo kwa mujibu wa sheria.Hospitali ya Wilaya ya Arusha ipo katika kata ya Engutoto mtaa wa Block D. Mradi wa ujenzi wa wodi ya mama na mtoto ulianza kutekelezwa Tarehe 24 Julai 2019 na kutakiwa kukamilika baada ya miezi sita. Kwa mujibu wa kaimu Mhandisi wa Jiji Bw. Samweli Mshuza changamoto za hali ya hewa zimepelekea mradi huo kutokamilika kwa muda uliokuwa umepangwa hivyo mkandarasi aliongezewa muda hadi Tarehe 31 juni 2020 japo pia hakukamilisha mradi hadi kufikia tarehe hiyo. Ujenzi wa Jengo la mama na mtoto hadi kukamilika unatarajiwa kugharimi kiasi cha fedha za kitanzania shilingi 1,395,904,605 na hivi sasa mradi umekamilika kwa asilimia 80 ambapo mkandarasi amekwishalipwa shillingi 731,950,665. Mradi huu ukikamilika unakadiriwa kutoa huduma za afya kwa kinamama takribani 200,000 na watoto zaidi ya 100,000 chini ya umri wa mika mitano.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa