• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ZOEZI LAKUSIKILIZA MALALAMIKO YA WANANCHI NI ENDELEVU

Posted on: February 27th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa amezindua rasmi wiki ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitatu katika ngazi ya Wilaya.

Akizungumza katika usinduzi huo Mtahengerwa amesema lengo kubwa la uzinduzi huo ni kuwapa nafasi wananchi waeleze changamoto zao kwa Serikali na Serikali ichukue jukumu la kuzitatua.

Amesema zoezi hilo ni endelevu kwani ofisi zote za Mtaa na Kata katika Jiji la Arusha zitakuwa wazi kupokea na kutatua kero za wananchi kila siku.

Aidha, Mtahengerwa amewataka wananchi kufuata utaratibu wa kupeleka malalamiko yao kwa ngazi husika kuanzia ngazi ya Mtaa, Kata na kote zikishindikana kupata majibu basi ndipo zifikishwe katika Ofisi ya Wilaya.

Vilevile, amewataka wananchi wote watakaopatiwa Mkopo wakautimie kuanzia biashara ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Kwa Upande wake, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maxmilian Iranqe amewataka wananchi wakafanye kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo yao kupitia Mikopo watakayo patiwa.

Nae, Diwani wa Kata ya Ngarenaro ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za kijamii Isaya Doita amesema Madiwani wote watashirikiana na watendaji wa mtaa na Kata katika kuhakikisha wanasikiliza na kutatua kero za wananchi kwa wakati katika kata zote.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Mhandisi Juma Hamsini, amesema Halmashauri iliamua kutoa fedha kiasi cha sh. Milioni 8 baada ya kupokea malalamiko ya baadhi ya wananchi wakihitaji mitaji ya biashara na fedha hizo zitagawiwa kwa wananchi hao.

Amesema, baada yakutoa fedha hizo Halmashauri itawafuatilia wananchi hao ili kuona kama fedha hizo kweli walizitumia kuanzisha biashara au laa.

Pia, Mhandisi Hamsini amesema Halmashauri imeshalipa madeni ya wazabuni   kwa kiasi cha shillingi Milioni 560 huku deni lote likiwa ni Bilioni 1.5 na Halmashauri itaendelea kumaliza deni hilo.

Amesema, Halmashauri ilipata jumla ya malalamiko 12 yana wananchi walioshindwa kumudu gharama za matibabu na Halmashauri ikawachambua na kubaini wagonjwa 8 ndio wenye uhitaji na watapatiwa Bima ya afya ili waweze kumudu gharama hizo za matibabu.

Uzinduzi wa Wiki yakusikiliza Malalamiko kwa wananchi katika Wilaya ya Arusha kuliambana na utoaji viti mwendo 2 kwa wenye ulemavu,utoaji wa Mitaji takribani milioni 8, ugawaji wa kadi za Bima ya afya kwa wananchi mbalimbali na yote hayo yametokana na Wilaya kuyabaini katika usikilizaji na utatuzi wa kero za wananchi baada yakutekeleza maelekezo yaliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Wenezi Taifa Paulo Makonda katika ziara yake aliyoifanya Jijini Arusha.



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa