Posted on: February 4th, 2019
Halmashauri ya jiji la Arusha kwa kushirikiana na Lions Club Arusha Arusha imetoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho bila malipo kwa zaidi ya wakazi 776 wa Kata ya Murriet na Terrat Jijini...
Posted on: January 31st, 2019
Mkuu wa mkoa wa arusha mhe. Mrisho gambo ameikabidhi Halmashauri ya jiji la arusha vitambulisho 32,000 vya wafanyabiashara wadogo almaarufu kama machinga.
Makabidhiano hayo yamefanyika leo Tarehe 3...
Posted on: January 17th, 2019
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni amesema kuwa ifikapo kesho Tarehe 18 Januari, 2019 operesheni ya ukusanyaji wa mapato inatarajiwa kuanza upya baada ya kupumzika kw...