Posted on: September 5th, 2017
Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Arusha umefika tarehe 05/09/2017 na kudumu kwa muda wa siku moja katika Wilaya hii na kukabidhiwa kwa Halmashauri ya Monduli siku iliyofuata ya tarehe 06/09/2017.
M...
Posted on: July 28th, 2017
Halmashauri ya jiji la Arusha limezindua kanuni mpya za kuduma zitakazoongoza uendeshaji wa vikao vya Kamati pamoja na Baraza la Madiwani la Jiji la Arusha kuanzia mwaka ujao wa Fedha 2017/2018.
Uz...
Posted on: June 16th, 2017
Shule ya Msingi Maweni iliyopo kata ya Murriet Jiji la Arusha yapata fursa ya kipee katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika kwa kutembelewa na wadau mbalimbali wa maendeleo ya elimu ...