• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MFUMO WA NAPA RASMI JIJI LA ARUSHA, UMAKINI WASISITIZWA

Posted on: February 17th, 2022

Na Mwandishi Wetu,

Arusha.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt John Pima amesisitiza umakini kwenye zoezi la uingizaji wa namba za majira ya nukta linalotarajiwa kuanza kesho mara baada ya kukamilika kwa zoezi la utambuzi wa anwani za makazi kwenye Kata tano za jijini hapa zoezi ambalo linatarajiwa kumalizika leo.

Akifungua mafunzo ya namna ya kutumia mfumo wa kidigitali wa anwani za makazi(NAPA) kwa vijana 54 wanaofanya kazi za usajili, Mkurugenzi huyo amesema zoezi hili ni nyeti sana hivyo linahitaji utulivu na umakini wa hali ya juu.

Licha ya kusisitiza umakini wakati wa kuingiza namba za majira ya nukta, aidha aliwasisitiza kuwepo kwa mawasiliano ya mara kwa mara na ya haraka pamoja na kutoa huduma bora kwa wanaowahudumia.

“Naomba umakini wa hali ya juu, iwapo hili halitazingatiwa ni wazi kuwa tutatoa namba ambazo zitakuwa siyo sahihi na hazitambulishi eneo husika, kwa maana hiyo eneo husika halitatambulika kwenye mfumo” Alisema Dkt Pima na kuongeza.

“Epukeni kujiongeza, mkiona changamoto yoyote msisite kuwauliza wataalamu wetu ambao mtakuwa nao kwenye zoezi na ndiyo maana nawasisitiza kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na ya haraka ili kuweza kutatua changamoto yoyote itakayojitokeza”

Aidha Dkt Pima amewapongeza vijana hao kwa kufanya kazi nzuri kwenye zoezi la kuweka namba za utambuzi wa anwani za makazi na kuwataka kuendela kujituma kwenye zoezi la kutumia mfumo wa NAPA kwa kuhakikisha wanaonyesha taswira nzuri ya serikali kwani wanafanya kazi hiyo kwa niaba ya serikali.

Zoezi la utambuzi wa anwani za makazi kwenye Kata hizo limeendeshwa mwa muda siku mbili na linatarajiwa kumalizika hii leo ili kuingia kwenye hatua ya uwekaji wa majira ya nukta yaani Code Net.

Mafunzo ya kutumia mfumo wa NAPA kwenye Kata tano za Kaloleni, Levolosi, Themi, Sekei pamoja na Kata ya Kati yameeendeshwa na wataalam wa TEHAMA  Geneveva Gasper na Ramadhan Mussa kutoka Jiji la Arusha. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI June 19, 2025
  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa