• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC Mongella: Somo la Historia lipewe kipaumbele

Posted on: December 8th, 2021

Kufuatia maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara kwa Ngazi ya Mkoa yaliyo fanyika 8/12/2021 katika kiwanja cha Makumbusho Jijini Arusha, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewataka Walimu, Maafisa Elimu na Viongozi kutilia mkazo somo la historia ili wanafunzi wa Kitanzania wafahamu Nchi ilikotoka ili wasiwe chanzo cha kuiyumbisha.

Mhe. Mongella ambaye pia ndiye Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ameyasema hayo alipokua akihutubia hadhara iliyo hudhuria katika maadhimisho ya uhuru wa Tanzania bara ngazi ya Mkoa ikiwa ni agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ili 9/12/2021 Watanzania wote wapate furusa ya kushiriki ama kufuatilia maadhimisho ya kitaifa.

Mhe. Mongella anasema " Ujumbe wangu kwenye Shule zetu, Maafisa Elimu, Walimu na sisi Viongozi tusisitize somo la Historia, mtu asiyejua alikotoka, alipo huyo mtu hana uelekeo na iko siku wataleta vurugu"

Kwa upande mwingine amewataka Watanzania wote kuendelea kuitunza, kuenzi misingi iliyoachwa na Muasisi wa Taifa la Tanzania, kuzilinda Tunu za taifa la Tanzania ambazo ameziorodhesha kama Amani, Usalama na Mshikamano. 

Kadhalika Spika wa Bunge la Jumuiya ya Africa Mashariki ambaye pia ni Mgeni Maalum Katika tukio hilo Mhe. Mathias Ngoga amewapongeza Watanzania kwa kufikisha miaka 60 ya uhuru na kuwasisitiza kuitunza na kuilinda amani ya Nchi kwani huo ndio msingi wa mafanikio katika nyanja zote za maisha.

Akiitolea mfano Nchi yake ya Rwanda ambayo imewahi kuingia katika machachafuko ya vita za wenyewe kwa wenyewe, amewasisitiza Watanzania kutojenga mazoea na amani yao na kuona ni kitu cha kawaida kwani pale inapopotea inagharama kubwa kuirudisha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI June 19, 2025
  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa