• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA JIMBO,KATA, MAOFISA UCHAGUZI NA AFISA UGAVI WA HALMASHAURI WAPATIWA MAFUNZO KUELEKEA UCHAGUZI OKTOBA 28, 2020

Posted on: August 7th, 2020

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo Dkt. John Pima amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo, Kata, maofisa uchaguzi na afisa ugavi wa Halmashauri kufuata taratibu za uchaguzi zilizotolewa na tume ya uchaguzi ili kujenga mazingira rafiki kwa wapiga kura na kupelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 28, 2020 kuwa huru na haki.

Dkt. Pima ametoa maelekezo hayo alipokuwa akifungua mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo, Kata, maofisa uchaguzi na afisa ugavi wa Halmashauri mapema leo tarehe 7 Agosti 2020 katika ukumbi wa mikutano Ofisi yaMkuu wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Pima amesisitiza kuwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzingazi ya Jimbo, Kata, maofisa uchaguzi na afisa ugavi wa Halmashauri wanatakiwa kufahamu kuwa wameaminiwa na kuteuliwa kwa sababu wana uwezo wa kufanya kazi hiyo hivyo mambo muhimu wanayotakiwa kuzingatia ni kujiamini na kujitambua nakwamba wanapaswa kuzingatia katiba ya Nchi, Sheria za uchaguzi na kanuni zake, maadili ya uchaguzi na maelekezo yote yaliyotolewa na tume.

Mafunzo yatafanyika kwa siku 3 kuanzia tarehe 7-9 Agosti,2020 kwa lengo la kubadilishana uzoefu, kujadili namna ya kufanikisha zoezi la Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 pamoja na kuelekezana namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza katika hatua zote za uchaguzi.


                                                        ***********************************************************************************************************

Picha: Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo, Kata, maofisa uchaguzi na afisa ugavi wa Halmashauri wakipatiwa mafunzo ya uchaguzi.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI June 19, 2025
  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa