• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dkt. Madeni aahidi kiama kwa ‘Machinga Feki’ wa Jiji la Arusha

Posted on: November 14th, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni agundua mbinu chafu za baadhi ya wafanyabiashara wa Jiji la Arusha kujifananisha na machinga kwa  kutoa bidhaa zao madukani na kwenye vibanda vya masoko na kuziweka kiholela kwa kigezo cha msamaha wa machinga kuruhusiwa kufanya biashara zao bila kubugudhiwa .

Dkt. Madeni aahidi kutokomeza kabisa hujuma hizo zifanywazo na baadhi ya wafanyabiashara wa Jiji la Arusha kwa kufanya operesheni maalum ya kuwarudisha katika maeneo yao ya awali na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wale wataoaidi maagizo hayo.

Katika ziara yake aliyoifanya leo Tarehe 14 /11/2018 alitembelea  masoko ya Kilombero, Soko Kuu na Soko La NMC  ambapo amejionea namna ambavyo baadhi ya wafanyabiashara walivyolitumia vibaya agizo la  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa kukimbia maeneo yao  rasmi na kupanga biashara zao barabarani hali inayoleta adha kubwa kwa watumiaji wa barabara na uchafuzi wa mazingira.Pichani: Baadhi ya biashara zilizowekwa katika maeneo yasiyo rasmi na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara na uchafuzi wa mazingira katika Jiji la Arusha .

  • Pichani: Baadhi ya biashara zilizowekwa katika maeneo yasiyo rasmi na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara na uchafuzi wa mazingira katika Jiji la Arusha .

                                                      ............................................................


“Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wa Jiji hili hasa wenye maduka  makubwa masokoni na stendi za mabasi wamekuwa wakiajiri watu wa kuwauzia biashara katika maeneo yasiyo rasmi ili waonekane kama machinga, nasema tabia hiyo iachwe mara moja kwani machinga wanafahamika  na kama serikali hatutakuwa radhi kuona hadhi ya mji wetu inaharibiwa na watu wachache wasiokuwa na nia njema na Jiji letu” alisema Dkt. Madeni

“Baada ya zoezi hili la kuwarudisha wafanyabiashara katika maeneo yao ya awali  nina imani kubwa mji utabaki katika hadhi yake na usafi wa hali ya juu kama ambavyo Jiji letu limekuwa likiongoza kwa sifa hiyo, hivyo niwaombe wale watakaobaki hawana maeneo ya kufanya biashara kwa maana ya machinga tutawapatia maeneo rasmi watakayoweza kuendesha shughuli zao bila tabu’’ aliongeza Mkurugenzi huyo.

  • Pichani: Baadhi ya vibanda na meza zilizobaki wazi katika masoko ya Jiji la Arusha  baada ya wafanyabiashara kukimbilia nje ya masoko kwa kujifananisha na machinga na kuikosesha Halamashauri mapato. 

............................................................

Naye Mwenyekiti wa jumuiya ya Machinga Jiji la Arusha Bi. Amina Njoka ametoa shukrani zake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwani tangu aingie madarakani amekuwa akiwajali machinga na kuwapa vipaumbele katika kuendesha shughuli zao za kujiingizia kipato cha kila siku bila kubugudhiwa.

“Ndugu Mkurugenzi , sisi viongozi kwa niaba ya machinga wote wa Jiji la Arusha tunapenda pia tukushukuru kwa kujali wanyonge kwani tangu uteuliwe na Rais wetu  umekuwa ukifatilia maslahi yetu kwa karibu na sasa upo katika harakati za kutunusuru na mihangaiko ya hapa na pale kwa kututafutia eneo rasmi litakalosaidia pia ukusanyaji wa mapato kwa maslahi ya Jiji letu na sisi tupo tayari kutoa ushirikiano kwako na viongozi wote wa Halmashauri ya Jiji letu  kuhakikisha mapato yanaongezeka huku tukiuacha mji katika hali ya usafi” alimaliza kusema Mwenyekiti huyo.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa