• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dkt. Madeni kuwafariji wafanyabiashara wadogo wa Soko Kuu Jijini Arusha

Posted on: March 2nd, 2019

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni ametoa Shilingi Milioni 1 kama asante kwa wafanyabiashara watano wa Soko Kuu ambao Walilazimishwa kulipa ushuru wa Shilingi  500 huku wakiwa 

na vitambushulisho vya kuwatambua kama waasiriamali wadogo

 

Wakati akitoa fedha hizo leo Tarehe 02 Machi,2019  Dkt. Madeni amesema kuwa  fedha hizo amezitoa katika mshahara wake  kwa ajili ya kuwaongezea mitaji wafanyabiashara hao ili kuwainua kiuchumia  pamoja na kuwapa pole kufuatia adha waliyokumbana nayo yakulazimishwa kutoa ushuruwa Sh. 500 na Mkuu wa Soko la hilo, Yusuf Ngenya iliyotokea siku ya

Jumatano Tarehe 27 Februari mwaka huu

 

“Natoa fedha hizi kuwafariji  kutokana na kitendo alichokifanya Mkuu wa Soko kuu kuwatoza ushuru ilhali akijua kuwa mnavyo vitambulisho vinavypwatambua kama wajasiriamali wadogo  almaarufu kama  machinga”  alisema Dkt. Madeni.


“Kitendo kilichofanywa na mtumishi aliyechini yangu kimesababisha kuwaweka wafanyabiashara hawa katika huzuni hali ya kuwa wanaishi katika Nchi huru na wanavyo vitambulisho vya kuwatambua kama wajasiriamali wadogo  na pia namuomba Radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa kitendo kile alichokifanya kuwatoza ushuru

kinamama hawa huku akijua ni kiyume na maelekezo ya Rais wetu mpendwa”. Aliongeza Dkt. Madeni.


Naye Bi. Dorah Patric mmoja kati ya wafanyabiashara  waliokumbwa nakadhia hiyo alishukuru kupata fedha hizo kwani mtaji wake wa machungwa ni Sh.15,000  hivyo kitendo cha kupewa Sh.200,000 na Mkurugenzi wa Jiji kitamsaidia kukuza biashara yake .


“Ukweli Namshukuru  Mungu kwani sijategemea kupata fedha hizi. Namshukuru Mkurugenzi wetu  kwa kunipa hela hii kutokana na ujasiriwangu wa kugoma kulipa sh. 500 wakati ninakitambulisho”. alisema Dorah


Awali aliyekuwa Mkuu wa Soko hilo,  Yusuf Ngenyaambaye pia kwa sasa ameondolewa katika nafasi hiyo kwa kushindwa kufikiamalengo ya ukusanyaji wamapato ndani ya soko hilo  alipopewa nafasi ya kujitetea mbele yaMkurugenzi Dkt. Madeni alisema kuwa aliamua kurekodi video wakati akidaiushuru kwa wafanyabiashara hao  kamaushahidi wakati atakapokuja kuulizwa sababu za  mapato ya soko kushuka na  video hiyo pia iweze  kuonyesha jinsiwafanyabiashara wanavyogoma kulia ushuru wa masoko.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa