• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Serikali yakiri kuona mchango wa Maendeleo ya Wanawake nchini

Posted on: March 8th, 2021

Serikali yakiri kuona mchango wa Maendeleo ya Wanawake nchini 

Na Mwandishi wetu 

Serikali imesema kuwa maendeleo ya wanawake yamechangia kwa kiasi kikubwa kuinua uchumi wa nchi na kuifanya Tanzania kufikia uchumi wa Kati. 

Kauli hiyo imetolewa  katika viwanja vya mpira Ngarenaro na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh.Jerry Muro wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha  Mh.Idd Kimanta kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa Wanawake wa Jiji la Arusha 

Mh.Muro alisema kuwa wanawake wanajituma katika nyanja mbali mbali na kwamba kwa sasa kwa kiwango kikubwa wanaongoza kiuchumi. 

Pamoja na mambo mengine alipongeza wanawake Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa umoja wao nakuwataka kuendelea kufanya shughuli zao kwa bidii na kwamba Serikali itaendelea kuwaunga mkono. 

Alisema  Serikali itaendelea kutoa mkopo wa asilimia 10 kupitia Halmashauri  ambao Wanawake pia ni wanufaika. 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kehongosi akimkaribisha kaimu Mkuu wa Mkoa Mh. Jerry Muro katika sherehe hiyo alikiri kuwa Wanawake wanamchango mkubwa wa maendeleo na kwa  Mh Rais Dk.John Pombe Magufuli anajali wanawake .

Mh.Kihongosi alisema kuwa anaunga jitihada za Mh. Rais  Mkono na kwamba amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa wanafanya kazi  zao bila bhuguza na kuwasaidia pindi wanapobainika wanaonewa.

Maadhimisho ya wanawake katika Jiji la Arusha yalipambwa na mada mbali mbali za kuwajenga na kuwajengea uwezo wa kujitambua. 


PICHANI :MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE ILIVYOFANA KATIKA UWANJA WA MICHEZO WA NGARENARO JIJINI ARUSHA 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa