• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

SUALA LA UKUSUNYAJI WA MAPATO NI KUFA NA KUPONA - RAS ARUSHA

Posted on: September 27th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Missaile Mussa amewataka watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha zoezi la ukusanyaji wa mapato linakuwa ajenda namba moja na kwamba wanapaswa kutambua kuwa jambo hilo ni kufa na kupona na kuwa suala hilo ni wajibu wa kila mmoja wao kwani kwa kufanya hivyo kutaleta Maendeleo ya kweli Jijini humo.

Bw. Missaile Mussa ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Watumishi hao katika kikao kazi kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha mapema Leo Jumanne Septemba 27,2022. Na kuwasisitiza kuwa lengo kama Mkoa ni kuvuka malengo zaidi ya waliyojiwekea katika ukusanyaji wa mapato.

"ninawaambia ajenda yetu kubwa ni mapato, wito wangu tukusanye mapato kwa kiwango kikubwa, sisi wote tutakuwa tukisaidiana na kumsaidia Mkurugenzi kukusanya mapato, tunataka tuvuke malengo hakuna namna" amesema Bw. Mussa.

Aidha Bw. Mussa aliongeza kwa kusema kuwa ni muhimu kwa Halmashauri hiyo kufanya vizuri katika nyanja zote na kuwasihi watumishi hao kufanya kazi kwa upendo na ushirikiano ili kuyafikia malengo waliyojiwekea.

"hatutaki alama" C", wala "B" tutakapofanyiwa tathmini, tunataka alama "A" tena alama "A+"aliongeza Bw. Missaile Mussa.

Kw upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Bw. Hargeney Chitukuro alimshukuru Katibu Tawala huyo Mkoa na kusema kwamba wameyapokea maelekezo hayo kwa ajili ya utekelezaji na kuwa hawatomwangusha na kwamba wao kama Halmashauri wapo tayari kuchapa kazi ili kuyafikia malengo.

"Tunamshukuru RAS kwa ujio wake umetutia moyo sana na ari ya kuchapa kazi, sisi kama Halmashauri tupo tayari kuyafanyia kazi maelekezo yote, tutakeleza ipasavyo na hatutoiangusha Serikali" alisema Chitukuro.

Naye Afisa Utumishi wa Jiji hilo, Bw. Gerlad Ruzika amemmshukuru RAS Mussa kwa maelekezo yake na kutoa wito kwa watumishi wote kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea wananchi wa Jiji la Arusha Maendeleo.

"wito wangu kwa watumishi wenzangu ni kufanya kazi kwa bidii ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani sisi kazi yetu ni kutoa huduma stahiki kwa wananchi." alisema Bw. Ruzika.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa