• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ARUSHA JIJI YANG'ARA KWA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amefurahishwa na usimamizi wa ujenzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika halmashuri ya Jiji la Arusha.

Pongezi hizo alizitoa alipokuwa akikagua miradi ya maendeleo katika sekta ya afya, elimu, barabara na Maji.

Amesisitiza zaidi ukamilifu wa miradi hiyo kwa wakati ili wananchi waweze kunufaika nayo kama Serikali ilivyopanga.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Mhandisi Juma Hamsini amesema miradi yote itakamilika kwa wakati kwani wakandarasi wote wanaenda kwa kasi inayotakiwa na ikibainika kuna Mkandarasi anazembea basi uongozi wa Halmashauri utamvuniia mkataba na kupatiwa mwingine.

Vilevile, amesema katika usimamizi wa matumizi ya fedha za miradi hiyo Halmashauri inaendelea kusimamia ili miradi iweze kukamilika kwa ubora unaotakiwa.

Nae, Diwani wa Kata ya Sekei Mhe. Gerald Sebastian amesema katika mradi wa ujenzi wa shule msingi Sekei majengo yanayojengwa ni Madarasa 8, Matundu ya Vyoo 8,Jengo la Utawala, Maabara 3,Darasa la TEHEMA na Maktaba moja.

Amesema kujengwa kwa shule hiyo ambayo inatarajiwa kukidhi mahitaji ya wakazi wa eneo la hilo na maeneo jirani kwa takribani miaka 100, hivyo itaweza kusaidia vizazi vingi.

Aidha, ameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta mradi huo na miradi mingine mingi katika kata hiyo na wanachi wameshaanza kuona matunda yake.

Diwani wa Kata ya Lemala Mhe. Nayosi Paulo ameishukuru Serikali kwa kuleta fedha takribani milioni 765 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Msingi Korongoni katika kata hiyo.

Amesema uwepo wa shule hiyo katika kata yake kutawarahisishia wanafunzi wengi kutotembea umbali mrefu kwenda kupata masomo yao.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa