• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ARUSHA JIJI YAVUKA LENGO LA UTOAJI FEDHA ZA LISHE

Posted on: October 25th, 2023

Kaimu Mkurugenzi Jiji la Arusha Dkt. Onesmo  Mandike amesema kuna umuhimu wa elimu kutolewa zaidi kwa wazazi juu ya umuhimu wa utoaji wa chakula shuleni.

Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wajumbe wa kamati ya lishe yaHalmashauri ya Jiji la Arusha.

Amesema wazazi wakielewa umuhimu wa lishe , itasaidia watoto wote kupata chakula cha mchana wakiwa shuleni.

Lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wanapatiwa chakula shuleni  na kuwawezesha kusoma vizuri wakati wa mchana badala ya kutoroka na kurudi nyumbani kupata chakula na wengine kushindwa kurudi tena kuendelea na masomo yao.

Kwakufanya hivyo kutasaidia kuimarisha mifumo ya ufikiri kwa watoto hao na kuongeza kiwango cha ufaulu katika shule zetu.

Sambamba na hilo ameshauri  wananchi kulima mazao ya muda mfupi hasa kipindi hiki ambacho mvua hazijaanza kunyesha ili kuwawezesha kupata chakula cha kutosha.

Kwa upande wake afisa lishe Halmashauri ya Jiji la Arusha Namsifu Godson amesema katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024 halmashauri imevuka lengo la utoaji fedha za lishe kwa watoto chini ya miaka 5 kutoka shilingi 2004 iliyopangwa kwa kila mtoto hadi kufikia shilingi 2159.

Amesema juhudi hizo zimepelekea kupata asilimia 107 ya afua za lishe katika kipimo cha kadi alama (score card) kwa robo ya kwanza kwa mwaka 2023/2024.

Vilevile,amewaomba viongozi wa dini kuendelea kuisaidia Serikali katika utoaji wa elimu ya lishe katika nyumba zao za ibadi kwa kufanya kazi mbalimbali za kijamii na kuwaalika wataalamu wa lishe kutoa elimu hiyo.

Kamati ya lishe ya Halmashauri ya Jiji la Arusha imefanya tathimini yake ya maswala ya lishe kwa robo ya kwanza ya mwaka na kurithika na namna fedha za lishe zinavyotolewa.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa