• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Baraza la Madiwani labariki kupandishwa vyeo na madaraja kwa Watumishi

Posted on: May 21st, 2021

Na Mwandishi  wetu 

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha limebariki kupandishwa vyeo na madaraja kwa watumishi wanaostahili kupandishwa vyeo na madaraja ikiwa ni ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan la kutaka mamlaka husika kuhakikisha watumishi hao wanatendewa haki kwa kupandishwa vyeo na madaraja. 

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe akizungumza kwa niaba ya Baraza la Madiwani alisema kuwa watumishi wanajituma katika majukumu yao na kwamba wamebariki kupandishwa kwa vyeo na madaraja. 

Iranqhe alisema kuwa watumishi wakipata stahiki zao ni wazi kuwa watafanya kazi kwa bidii na kusaidia wananchi kuleta maendeleo.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Arusha alisema kuwa watumishi 33 wamepanda vyeo , zaidi ya watumishi 400 wamepandishwa madaraja na kwamba Halmashauri imetekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

Dk. Pima aliongeza kuwa Tume ya walimu (Tanzania Teachers Commission) imeweza kuhakiki na kupandisha vyeo Walimu wapatao zaidi ya 3800 na wengine wamehamishiwa kada mbali mbali .

Mkurugenzi huyo anasema kuwa hatua ya kupandishwa vyeo kwa watumishi hao ni maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu ambapo siku ya Mei Mosi 2021 aliagiza kuwa watumishi ambao wanastahili kupandishwa vyeo na madaraja kuanzia mwaka 2018 -2019 , mwaka 2019 -2020 hadi kufikia 2020 -2021 wapandishwe katika ngazi husika .

Dk. Pima alisema kuwa watumishi hao wanasubiri taratibu za kiserikali ili waweze kupata stahiki zao na kwamba Jiji la Arusha limetekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Samia Suluhu Hassan. 

Katika hatua nyingine Baraza la Madiwani limeunda kamati tatu ndogo za madiwani ambazo zitashiriki katika kufuatilia mapato, Umiliki wa kampuni za Nyama Arusha ,Ardhi na kampuni Tanzu zilizopo Jiji la Arusha. 

Kamati hizo zina lengo kusaidia kuharakisha maendeleo ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Arusha. 

Wananchi walioshiriki Baraza hilo wamepongeza Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kujadili na kutoa michango katika Baraza hilo kwa ustaarabu na kwamba hatua hiyo ni kuonyesha ukomavu na nia njema yakuwaletea wananchi maendeleo. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa