• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dc Arusha Mjini akutana na Viongozi wa Dini, asisitiza umuhimu wa kulinda amani

Posted on: March 28th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqarro akutana na viongozi wa Dini na Madhehebu mbalimbali Jijini Arusha na kusisitiza umuhimu wa kulinda amani ikiwa ni kielelezo cha maendeleo ya wakazi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.

Akizungumza Katika mkutano huo uliofanyika jana Tarehe 28/03/2019 katika ukumbi wa Arusha School, Mhe. Daqqaro amesema kuwa viongozi wa dini wamekuwa msaada mkubwa katika malezi ya kiroho katika  jamii yetu hivyo ni jukumu lao pia kusaidia kuilinda amani tuliyonayo na kutambua umuhimu wake kwa mustakabali wa Taifa hili.

“Miongoni mwa viongozi wanaosikilizwa na kuheshimika katika nchi hii ni nyie viongozi wa dini hivyo mtumie fursa hiyo kuitangaza na kuilinda amani yetu. Najua wapo wenye nia mbaya na serikali yetu , wanataka kuichafua taswira ya nchi ionekane Tanzania si mahali salama pa kuishi lakini wapuuzeni tusonge mbele” Alisema Mhe. Daqarro

“Pamoja na Taifa hili kutambua mchango wenu lakini suala la kufuata sheria na kanuni za nchi ni lazima, yapo malalamiko kwa baadhi ya nyumba za ibada kutumia vipaza sauti vikubwa kiasi cha kusababisha usumbufu katika jamii inayowazunguka. Busara itumike katika kuendesha Ibada hizo” aliongeza Mkuu wa Wilaya huyo.

Samba na hayo Mhe. Daqarro alielezea umuhimu wa viongozi hao kuhamasisha jamii kushiriki katika shuhuli na masuala  kitaifa ikiwemo  Mwenge wa Uhuru, kuhamasisha urasimishaji wa nyumba na makazi, upandaji wa miti, vijana kujitokeza katika mafunzo ya jeshi la akiba, vitambulisho vya wajasiriamali wadogo na pia alisisitiza umuhimu wa kufunga kamera katika nyumba za Ibada kwa ajili ya usalama sambamba na miundombinu rafiki katika nyumba hizo inayowawezesha waumini kujiokoa wakati wa dharura.

Katika mkutano huo pia wawakilishi kutoka taasisi na idara mbalimbali za serikali walipata fursa ya kutoa elimuna maelekezo mahsusi  kwa viongozi hao ikiwemo mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), Taasisi ya uhifadhi wa mazingira (NEMC), Mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji (EWURA), idara ya Mipango Miji, Biashara, Ustawi wa Jamii na Usalama.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa