• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dc Daqarro amtaka Mganga Mfawidhi kituo cha Afya Murriet kuhakikisha huduma za wazee zinapewa kipaumbele

Posted on: November 9th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqarro amemtaka Mganga Mfawidhi  wa Kituo cha afya Murriet, Bw. Mustafa Miraji Kuhakikisha huduma za wazee zinapewa kipaumbele ikiwemo kuwekewa dirisha lao maalum la dawa.

Dc Daqarro ametoa agizo hilo hapo jana wakati wa ziara yake katika kituo hicho   kukagua maandalizi ya matumizi ya kituo hicho  ambapo mpaka sasa ujenzi umekamilika kwa jengo la wagonjwa wa nje na liko tayari kutumiwa na  wananchi na huduma zimeanza kutolewa ikiwemo huduma ya mama na mtoto, huduma ya wagonjwa wa nje (opd), maabara, dawa na  chanjo.

Wakati wa ziara yake katika kituo hicho dc daqarro aliwapongeza watumishi wa afya katika Jiji la Arusha, Mhandisi wa Jiji na kila mmoja kwa nafasi yake katika kufanikisha kukamilikwa kwa ujenzi wa kituo cha Afya Murriet na kuwataka  watumishi katika kituo hicho  kufanya kazi kwa weledi na kujitoa kwa ajili ya wananchi na kudhibiti matumizi ya dawa.

Pia amemwaagiza Mganga Mkuu wa Jiji la Arusha, Dkt. Simon Chacha kuhakikisha Mfumo wa malipo wa serikali unaanza  kutumika mara moja ili kukwepa vitendo vya rushwa na ubadhilifu wa Fedha za serikali.

“Makatibu wa afya fuatilieni  madai na maslahi na madai  ya watumishi na pia hakikisheni mnaendesha  vikao vya mara kwa mara ili kubaini changamoto mbalimbali na kuongeza ufanisi wa kazi ” aliongeza Mkuu wa Wilaya huyo

 

Utolewaji wa huduma za afya katika kituo cha Murriet  utasaidia kutatua changamoto za huduma za afya kwa  wakazi wa kata ya Murriet na Jiji zima kwani utaimarisha hali ya utoaji wa huduma za afya na kupunguza msongamano katika hospitali na vituo vingine vya afya vilivyopo Jijini Arusha

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa