• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dc Daqarro, wanaofanya matukio ya ukatili dhidi ya watoto kukiona

Posted on: June 16th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh. Gabriel Daqarro ameviagiza vyombo vinavyoshughulikia haki na masuala ya watoto kuhakikisha matukio yote  ya ukatili dhidi ya watoto  yanaripotiwa katika vyombo vya dola  na kesi zote zifike  mahakamani ili wanaopatikana na hatia waweze kuhukumiwa.

 Mhe. Daqqaro ameyasema  hayo  mapema leo hii wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika Viwanja vya Arusha School iliyopo Jijini Arusha.

 Amesema kuwa  hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote wanaopatikana na hatia katika  matukio ya ukatili dhidi ya watoto na kama serikali wanaendelea kupeleka maombi katika ngazi za juu ikiwezekana dhamana isiwepo katika makosa hayo ili kupunguza au kutokomeza kabisa ukatili dhidi ya watoto.

“kuna matukio mengi ya kikatili dhidi ya watoto yanafanyika katika jamii ikiwemo watoto kubakwa na kulawitiwa lakini hatua hazichukuliwi, baadhi ya   wazazi  na walezi hawaripoti  matukio hayo na  wakati mwingine kusababisha kesi zisifike mahakani hivyo niviombe  vyombo vya dola  kusimama kidete kuhakikisha watoto wanapata haki zao” alisema Mhe. Daqarro

“Pia nichukue fursa hii kuwataka wazazi na walezi kuhakikisha mnawapa watoto ulinzi wa kutosha pamoja na kutimiza majukumu yenu  ikiwemo kufuatilia maendeleo yao pamoja na kuwapa elimu kwani serikali  ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kila mwaka inatenga fedha kwa ajili ya kuhakikisha watoto wanapata  elimu bila malipo” aliongeza Mhe. Daqarro”

Naye  Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Omary Kwesiga amesema wanafunzi wenye mahitaji maalum serikali inawajali kwa kuwatengea fedha ili waweze kujikimu katika maisha yao ya kila siku na waweze kufaulu masom yao  hivyo ni wajibu wa watoto kuhakikisha wanasoma kwa bidii ili waweze kutimiza ndoto zao ikiwemo kuhakikisha wanashrikishwa katika majukumu mbalimbali ili wawe viongozi bora hapo baadae.

Nao baadhi ya watoto, Ashura Juma na Issack Joseph wakati wakisoma Sera ya Watoto mbele ya mgeni rasmi  walisema ni vyema sasa sheria za watoto zitiliwe mkazo  ili wahalifu  wasipewe dhamana kwani inaumiza kuona baadhi ya matukio yanaishia polisi bila kwenda mahakamani.

Awali maadhimisho hayo yaliambatana na maandamano kutoka makao makuu ya  Jiji la Arusha hadi Arusha School pamoja na maonyesho mbalimbali ya kuibua vipaji vya watoto  katika kuinua uchumi wa viwanda.

Mtoto wa Afrika ni siku ya kuwaenzi watoto zaidi ya 500 waliopoteza maisha kwa kuuwawa kikatili huko mjini Soweto - South Afrika mnamo mwaka 1976

Kauli mbiu ya mwaka huu “MTOTO NI MSINGI WA TAIFA ENDELEVU; TUMTUNZE, TUMLINDE NA KUMUENDELEZA”

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa