• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

DC Mjema kuwashughulikia watumishi wazembe

Posted on: July 26th, 2021

Na Mwandishi wetu 

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh. Sophia Mjema amesema hatawavumilia watumishi wazembe, wasiofuata haki na wasiojua wajibu wao na kwamba ataanza kufuatilia mtumishi mmoja mmoja ili kubaini utendaji wake. 

Mkuu huyo ametoa kauli hiyo  makao ya ofisi za Halmashauri ya Jiji la Arusha  wakati akizungumza na watumishi  wa idara mbali mbali wa Halmashauri ya Jiji la Arusha ikiwa ni mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa mkuu wa Wilaya ya Arusha. 

Alisema kuwa watumishi wa Serikali wanapaswa kuwa kioo cha Jamii kwa kufanya kazi yakutumikia wananchi kwa uadilifu na hatimaye kuwaletea maendeleo. 

Dk.Mjema alisema kuwa atashirikiana na kila mtumishi kwamba ofisi yake iko wazi kwa kila mtu ikiwa ni pamoja na watumishi wote wa Jiji la Arusha .

Alisema kuwa atamtea mtumishi mwadilifu ikiwa atabainika anaonewa na mtumishi mzembe atamchongea bila kumuonea haya. 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima alisema kuwa maagizo ya Mkuu wa Wilaya yatatekelezwa na kwamba watumishi wa Jiji la Arusha  watampatia ushirikiano hatimaye kumuwezesha kutekeleza majukumu yake bila kikwazo. 

Pamoja na mambo mengine alisema kuwa Jiji la Arusha linafanya vizuri katika Taaluma kwamba jitihada za kuboresha miundo mbinu ya elimu zinaendelea.

Awali Afisa Utumishi wa Jiji la Arusha Msena Bina alimwambia Mkuu huyo kuwa Watumishi wa Jiji la Arusha wanatekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi katika idara zao na watumishi wazembe wanachukuliwa hatua za kinidhamu. 

Bina anasema kuwa watampatia Mkuu wa Wilaya ushirikiano na kwamba  nia ya Watumishi wa Jiji la Arusha ni kuhudumia kila Mwananchi bila ubaguzi. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa