• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

DC Mtahengerwa Ataka Usimamizi bora wa mapato na matumizi Jijini Arusha

Posted on: February 16th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa ameitaka Halmashauri ya Jiji la Arusha  kusimamia vizuri matumizi ya fedha na mapato  ya Halmashauri ya Jiji  hilo na kuwekeza nguvu ya kuwaletea wananchi maendeleo. 

Ameyasema hayo leo Februari 16,2023 Jijini Arusha Katika Mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani la robo ya pili ya Mwaka ambapo kikao hicho kiliwajumuisha Wananchi, na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Jiji la Arusha. 

Mhe. Mtahengerwa amesema kamwe hatofumbia macho matumizi mabaya ya fedha za mapato za Halmashauri ya Jiji la Arusha na  pamoja na kudhibiti matumizi  ya fedha na kuhakikisha wanakamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati. 

Mhe. Mtahengerwa pia amelitaka Baraza hilo kufikiria vitu na miradi vikubwa ambayo itawatofautisha  na majiji mengine katika upitishwaji wa bajeti na kusema kuwa  Jiji la Arusha lina kila sababu ya kuhakikisha wana ongeza makisio ya bajeti kufikia bilioni 60 na kuongeza kuwa Jiji la Arusha lina vyanzo vingi vya mapato.

"tunasema Jiji la Arusha ni Jiji la kitalii, basi lazima liendane na ukubwa wa jina lake, imefika wakati Jiji la Arusha lifikirie kufanya vitu vikubwa vinanyoendana na hadhi ya jina la Jiji hili" amesema Mtahengerwa. 

Naye Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Matle Iranqhe amesema wamepokea maagizo hayo na wako tayari kuyafanyia kazi ili kuhakikisha wanawaletea wananchi maendeleo. 

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Ngarenaro ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya  Huduma za jamii Jiji la Arusha Mhe. Isaya Doita wakati akiwasilisha taarifa yake katika Baraza walimshukuru Mkuu wa Wilaya na kuahidi kufanya kazi kwa Ushirikiano na Umoja kuisaidia Serikali katika kuhakikisha maendeleo yanaonekana na kuwafikia wananchi kwa kuwapatia huduma bora. 


Matangazo

  • KUSITISHWA KWA TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA BONDENI CITY December 06, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KUHUSU KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MIKOPO YA HALMASHAURI July 14, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA August 11, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATIA FORA UGAWAJI WA MIKOPO, YAMWAGA ZAIDI YA BILIONI 2 ZA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    March 22, 2023
  • JIJI LA ARUSHA LATIA FORA UGAWAJI WA MIKOPO, LAMWAGA ZAIDI YA BILIONI 2 ZA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    March 22, 2023
  • JIJI LA ARUSHA LATIA FORA UGAWAJI WA MIKOPO, LAMWAGA ZAIDI YA BILIONI 2 ZA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    March 22, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA ARUSHA KATIKA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHAA

    March 21, 2023
  • Tazama zote

Video

ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa