• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

DC Mtahengerwa Ataka Usimamizi bora wa mapato na matumizi Jijini Arusha

Posted on: February 16th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa ameitaka Halmashauri ya Jiji la Arusha  kusimamia vizuri matumizi ya fedha na mapato  ya Halmashauri ya Jiji  hilo na kuwekeza nguvu ya kuwaletea wananchi maendeleo. 

Ameyasema hayo leo Februari 16,2023 Jijini Arusha Katika Mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani la robo ya pili ya Mwaka ambapo kikao hicho kiliwajumuisha Wananchi, na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Jiji la Arusha. 

Mhe. Mtahengerwa amesema kamwe hatofumbia macho matumizi mabaya ya fedha za mapato za Halmashauri ya Jiji la Arusha na  pamoja na kudhibiti matumizi  ya fedha na kuhakikisha wanakamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati. 

Mhe. Mtahengerwa pia amelitaka Baraza hilo kufikiria vitu na miradi vikubwa ambayo itawatofautisha  na majiji mengine katika upitishwaji wa bajeti na kusema kuwa  Jiji la Arusha lina kila sababu ya kuhakikisha wana ongeza makisio ya bajeti kufikia bilioni 60 na kuongeza kuwa Jiji la Arusha lina vyanzo vingi vya mapato.

"tunasema Jiji la Arusha ni Jiji la kitalii, basi lazima liendane na ukubwa wa jina lake, imefika wakati Jiji la Arusha lifikirie kufanya vitu vikubwa vinanyoendana na hadhi ya jina la Jiji hili" amesema Mtahengerwa. 

Naye Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Matle Iranqhe amesema wamepokea maagizo hayo na wako tayari kuyafanyia kazi ili kuhakikisha wanawaletea wananchi maendeleo. 

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Ngarenaro ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya  Huduma za jamii Jiji la Arusha Mhe. Isaya Doita wakati akiwasilisha taarifa yake katika Baraza walimshukuru Mkuu wa Wilaya na kuahidi kufanya kazi kwa Ushirikiano na Umoja kuisaidia Serikali katika kuhakikisha maendeleo yanaonekana na kuwafikia wananchi kwa kuwapatia huduma bora. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa