• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

DC MTANDA: WAZAZI MSIWAFICHE WATOTO KUPATA CHANJO YA POLIO KWA USALAMA WA AFYA ZAO

Posted on: December 1st, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda amewataka wazazi na walezi kutowaficha ndani watoto walio chini ya umri wa miaka mitano wilayani hapo kupatiwa chanjo ya matone ya polio ili kuhakikisha usalama wa makuzi bora kwa mtoto.

Pichani : Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda akimpatia mtoto chanjo ya matone ya Polio 

Mtanda ameyasema hayo katika uzinduzi wa chanjo ya matone polio katika kituo cha Afya Daraja mbili kilichopo jijini Arusha ambapo amebainisha chanjo hiyo ni salama haina madhara yoyote na inatolewa bure kwa lengo la makuzi bora ya mtoto.

"Matarajio yetu ni kuwachanja watoto wote walio chini ya miaka mitano ili kuhakikisha usalama na afya ya mtoto inaimarika na asitokee mzazi au mlezi anamzuia mtoto kupatiwa chanjo hii itakuwa ni kinyume na Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania juu ya afya njema ya mtoto,"alisema Mtanda.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Bw. Hergney Chitukuro alisema katika awamu ya kwanza takribani watoto 93,000 walichanjwa ikiwa awamu ya pili ni 1,11,808 na mwitikio huu inamaanisha elimu imeeleweka na wananchi wameelewa umuhimu wa chanjo hiyo.

"Wazazi wametuelewa kwa kufahamu umuhimu wa kuchanja watoto kwa ajili ya maisha ya watoto na hii inawasaidia wazazi kuwapunguzia adha ya matibabu mara kwa mara kutokana na mtoto kuwa na kinga ya polio,"alisema.

Hata hivyo alisisitiza wazazi kutumia kikamilifu siku nne hizo zilizotolewa na Serikali kuwapeleka katika vituo vya afya ili waweze kupata chanjo ya polio. 

Nao baadhi ya wazazi na walezi wa Wilaya ya Arusha walisema chanjo hiyo ni muhimu kwa watoto wao kwani itawasaidia katika kuwakinga watoto wao wasipate ugonjwa huo wa polio.

Zoezi la utoaji chanjo ya Polio limebebwa na Kauli mbiu isemayo  "kila tone la chanjo ya polio litaiweka Tanzania salama dhidi ya ugonjwa wa kupooza(Mpe Matone Okoa maisha)". 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa