• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dkt. Madeni ageukia Idara ya Afya, asisitiza agenda ya mapato

Posted on: July 31st, 2019

Katika kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni leo tarehe 31/07/2019 amekutana na viongozi wa idara ya Afya Jiji la Arusha katika ukumbi wa mikutano wa kituo cha afya Ngarenaro kuzungumzia agenda ya umuhimu wa ukusanyaji wa mapato kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa.

Dkt. Madeni aliyeambatana na Mweka Hazina wa Jiji Mbwana Msangi ameonya vitendo vya baadhi ya watumishi katika vituo vya afya kutotoa stakabadhi  ya mashine pindi wateja wanapokwenda kupatiwa huduma kwani inachangia kushusha mapato ya vituo husika.

Dkt. Madeni ameeleza kuwa umuhimu wa kusimamia ukusanyaji wa mapato kikamilifu unasaidia kuipunguzia mzigo serikali kuleta fedha zingine kwenye Halmashauri kama mishahara ya watumishi na fedha nyingine za miradi ya maendeleo badala yake fedha hizo zielekezwe  kufufua na kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo ya nchi.

“Rais wetu anafanya kazi kubwa kuhakikisha miradi mikubwa ya nchi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), mradi wa umeme wa maji wa mto Rufiji (Stigler’s Gorge), ununuzi wa ndege 8 na ufufuaji wa shirika letu la  ndege (ATCL) na miradi mingine mingi ya maendeleo inawezeshwa  na makusanyo ya ndani .  Hivyo nitoe rai kwenu wahudumu wa sekta ya afya Jiji la Arusha kusimamia kikamilifu na kwa uaminifu mkubwa ukusanyaji wa mapato” amesema Dkt. Madeni.

Katika kikao hicho pia Dkt. Madeni alipata fursa ya kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa  pamoja na kusisitiza kuwa idara ya afya imepewa kipaumbele kikubwa katika bajeti iliyotengwa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 shilingi bilioni 3 fedha za kitanzania.

Pichani:Mweka Hazina wa Jiji Mbwana Msangiakizungumza na viongozi wa idara ya afya Jiji la Arusha

Pichani: Mganga mkuu Jiji la Arusha Simon Chacha akizungumza na viongozi wa idara ya afya Jiji la Arusha





                              

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa