• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dkt. Madeni kukabidhiwa vifaa vya usafi na Chama cha Msalaba Mwekundu nchini Tanzania (RED CROSS) kwa ajili ya kituo cha Afya Murriet Jijini Arusha

Posted on: February 20th, 2019

Chama cha Msalaba Mwekundu Nchini Tanzania (RED CROSS) Leo Tarehe 20/02/2019 Kimemkabidhi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni  vifaa vya usafi, magodoro  na mablanket kwa ajili ya kituo cha Afya Murriet kilichopo Jijini Arusha

Dkt. Madeni amekishukuru Chama cha Msalaba Mwekundu Mkoani Arusha kwa kujitolea vifaa hivyo kwakuwa vitasaidia kwa kiasi kikubwa kuboresha hali ya usafi katika kituo cha Afya Murriet sambamba na magodoro ya kulalia wagonjwa na mablanketi ya kujifunikia wagonjwa wawapo wodini.

“Nichukue fursa hii kuijulisha jamii kuwa Halmashauri yetu inatoa fursa ya kupokea misaada kutoka kwa wadau mbalimbali , sio tu katika sekta ya Afya bali katika sekta nyingine pia za maendeleo na kuboresha huduma za jamii kwa wakazi wa jiji la Arusha” Alisema Dkt. Madeni

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundu Mkoa wa Arusha  Dkt. Christopher Nzela amesema kuwa chama hicho kimejitolea vifaa hivyo ikiwa ni kuiunga mkono Serikali ya awamu  ya Tano katika kuboresha huduma za jamii na wanaahidi kuendelea kutoa misaada kwa ajili ya kuboresha huduma za afya Jijini Arusha.

“Ni wajibu wetu kama wasaidizi wa Serikali wakati wa maafa tunashughulika na maafa na wakati wa amani tunajikita katika masuala ya afya, elimu na vitu vingine kwa ajili ya ustawi wa wananchi na nchi kwa ujumla ” Alisema Dkt, Nzela 

Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na magodoro 10,blanket 7, pampu 2 za kupulizia dawa, viatu vya mvua pea mbili , ndoo mbili  za kunawia mikono zenye ujazo wa lita 20 kila moja, vyombo viwili vya kuhifadhia taka, madumu matano ya kuhifadhia maji na madiaba mwawili ya kunawia mikono yenye ujazo wa lita 50 kila moja vyenye yhamani ya shilingi 876,0000/= za Kitanzania.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa