• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

JIJI LA ARUSHA LATAKIWA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UTALII ILI KUVUTIA WAWEKEZAJI NA WATALII WA NDANI NA NJE YA NCHI

Posted on: March 3rd, 2020

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.  Maulid.S.Madeni amesema upo umuhimu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kushirikiana na sekta mbalimbali za Serikali na na zisizo za Serikali ili kuleta chachu katika kuinua uchumi wa Jiji la Arusha pamoja na kupanga mikakati ya kuboresha mazingira ili kuwavutia wawekezaji, wafanyabiashara na watalii wa ndani na nje ya nchi katika Jiji la Arusha. mkoa wa Arusha, Tanga, Mbeya na Mtwara.  

Ametoa maagizo hayo leo katika mkutano uliohudhuriwa na  wawakilishi wa taasisi mbalimbali za Serikali na zisizo za Serikali zikiwemo AUWSA, NEMC, TANROADS, TANESCO, SIDO, na NIRAS pamoja na kamati ya fedha na utawala ya Jiji la Arusha uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha na kuratibiwa na Benki ya dunia kwa lengo la kutengeneza mkakati wa maendeleo ya ukuaji wa uchumi kwenye mikoa minne Arusha, Tanga, Mbeya, na Mtwara ili kuleta mkakati ambao utatumika na mikoa hiyo minne na hata mingine.

Pia Dkt. Madeni alisema kuwa Halmashauri nyingi nchini zina changamoto ya vyanzo vya mapato hivyo ni vyema kujenga mikakati ya pamoja ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri.

Akizungumza hayo alitoa mfano wa sekta ya utalii Jiji la Arusha kuwa naukosefu wa watu wenye ueledi wa kuongea na kuwavutia watalii hivyo ni vema kuangalia ni mikakati gani itakayo wafanya watalii wakae kwa mda mrefu katika Jiji la Arusha hii ikiwa ni pamoja na kujenga maeneo maalum yenye vivutio vya kitalii ili kupelekea watalii wanapokuja Arusha isiwe tu kama sehemu ya kupita bali Jiji likawe nikivutio kimojawapo.

Mwakilishi wa kampuni ya NIRAS Bw. Ndg. Larry Abermann amesema kuwa wamekuja na mapendekezo  na mikakati itakayo tumika na Jiji la Arusha kwa maendeleo ya Jiji, alishauri kuwatengenezea uelewa wa ndani zaidi wakazi wa Jiji la Arusha kuhusu suala la usafi wa mazingira nakusema kuwa Jiji la Arusha  lina fursa za kitalii hivyo ni muhimu kuhamasisha usafi wa mazingira na kuangalia namna ya kuweka kitengo maalumu cha kusimamia swala hilo. Naye mkurugenzi wa NEMC Ndg. Aleise Nzari  alisema kuwa ni vyema kuchukua mazingira yanayotuzunguka kama fursa kwani Jiji la Arusha lina bahati ya kuwa na hoteli nyingi ambazo zikitumiwa vyema ni njia ya kutangaza utalii na utamaduni wetu kamavile kutenga maeneo rasmi ambayo yatatumika kuuza bidhaa za kitalii pamoja na vyakula vya asili ya makabila na nchi mbalimbali.

                        

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa