• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kamati ya CCM Wilaya ya Arusha yaridhishwa utekelezaji wa miradi

Posted on: June 8th, 2023
  • Dkt. Mollel ampa kongole DC na Wataalam wa Jiji 
  • Asisitiza viongozi na Watumishi kuchapa kazi. 

Na Mwandishi Wetu 

Arusha

Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM katika Wilaya ya Arusha Mjini imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Jijini Arusha. 

Akizungumza katika ziara hiyo  Mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi Wilaya ya Arusha Dkt. Wilfred Ole Mollel alisema lengo kubwa la ziara hiyo ni kuhakikisha  ilani ya chama hicho  imetekelezwa vizuri. 

"Ninashukuru miradi yote ambayo tumeikagua inaridhisha kwa Kiasi kikubwa Sana nimpongeze mkuu wa Wilaya niwapongeze pia Wataalamu wa Jiji kwa kujinasua kutika kusemwa vibaya hasa katika Suala la utumiaji  wa pesa nyingi Sana ukilinganisha na kazi zilizofanyika kwa kweli zilikiwa hazirandani lakini sasa hivi nimeridhika na kazi iliyofanyika vizuri sana tena kwa ubora  wa hali ya juu sana" alisema Dkt. Mollel. 

Pia, Dkt. Mollel alimpongeza Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa pamoja na viongozi na watumishi wote wa Halmashauri ya jiji la Arusha kwa kuielewa Serikali na kuitendea haki katika miradi ya maendeleo na kuongeza kuwa watahakikisha kila baada ya mwezi mmoja wanafanya kaguzi za kustukiza. 

Naye Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa aliishukuru kamati ya siasa ya wilaya ya Arusha kwa kutembelea miradi hiyo ya maendeleo.

"Na kama tulivyokuwa tunasema siku zote jicho letu halioni tunavyokuwa na macho mawili tunaona kwa msukumo huu ambao tumekuwa nao tumeona kweli vitu vinaenda na sisi tuwaahidi tutaendelea kusimamia miradi yote ya Halmashauri iwe na thamani ya fedha lakini iwe na ubora unaoridhisha " alisema DC Mtahengerwa. 

Aidha miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa shule mpya ya Msingi Korongoni uliopo Kata ya Lemara, Ujenzi wa jengo jumuifu la wagonjwa wa nje (OPD Complex) katika hospitali ya Jiji Kata ya Engutoto, Ujenzi wa barabara ya Themi - Viwandani yenye urefu wa 1.4km kwa kiwango cha lami, Ujenzi wa jengo la kutolea huduma kwa wagonjwa wa nje (OPD) zahanati ya Olkereyan Kata ya Moshono na miradi mingineyo. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa