• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Arusha yafurahishwa na Hospitali ya Jiji la Arusha

Posted on: August 22nd, 2021

Na Mwandishi wetu

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha imefurahishwa na utekelezaji wa Mradi wa Hospitali ya Jiji la Arusha ambayo itakuwa na uwezo wa kuhudumia watalii wanaokuja kutembelea Vivutio vya kitalii Mkoa wa Arusha na nje ya Mkoa Arusha .

Hospitali hiyo ambayo imeanza kuhudumia wagonjwa itakuwa na uwezo wa kutua ndege juu ya paa la Hospitali nakumshusha mgonjwa aweze kupatiwa matibabu badala ya kwenda kutibiwa nje ya nchi. 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Bw, Zelothe Steven akizungumza kwa niaba ya Viongozi wenzake wa CCM alioambatana nao alisema kuwa wamefurahishwa na mradi huo na kwamba kukamilika kwa Hospitali hiyo kutaondoa adha ya watu hususani watalii kwenda kutibiwa nje ya Jiji la Arusha.

Amempongeza Mkurugenzi wa Jiji la Arusha pamoja na Wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwamba kitendo cha kuibua Mradi huo wa Hospitali imeonyesha ubunifu na upeo mkubwa wa maendeleo na nia njema yakuleta mapinduzi ya maendeleo katika Jiji la Arusha.

"Mimi nikiwa kama Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi niwapongeze kwa sababu naona maono yenu yana tija, lakini pia mnafikiria kwa mapana zaidi hasa katika utekelezaji wa Ujenzi wa mradi huu" alisema Zelothe. 

Anawataka kuhakikisha Mradi huo unakamilika kwa wakati pamoja nakuendelea kusimamia kwa uadilifu 

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk. John Pima ameishukuru Kamati hiyo ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM)kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kufuatilia utekelezaji wa miradi na kwamba Jiji la Arusha litaendelea kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kutekeleza miradi kwa ipasavyo.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa