• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dk.Athuman Kihamia aahidi ushirikiano kwa watu wote

Posted on: June 3rd, 2021

Na Mwandishi Wetu

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dk.Athuman Kihamia amesema atashirikiana na Viongozi wote wa Mkoa wa Arusha, wadau wa maendeleo na wananchi kwamba Umoja na mshikamano ndiyo silaha pekee ya maendeleo. 

Dk.Kihamia akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha,  Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Viongozi wa Serikali na wadau wa maendeleo waliojitokeza kumpokea alisema kuwa atafanya kazi na kila mtu katika Mkoa wa Arusha. 

Alisema kuwa ni kweli katika Mkoa wa Arusha ni mwenyeji na kwamba sababu hiyo inampa fursa kufanya kazi na kila mtu na kudai kuwa nia ya Serikali nikuwaletea wananchi maendeleo kwamba tofauti zisizo na tija ziwekwe pembeni kazi ya maendeleo iendelee. 

Awali Mkuu wa Wilaya Arusha Mh. Kenan Kihongosi akimkaribisha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mh. John Mongela alimhakikishia ushirikiano na Umoja na kudai kuwa Viongozi wa Arusha wana Umoja na mshikamano. 

Mh. Kihongosi alisema kuwa maendeleo yeyote duniani yanategemea Umoja na mshikamano na kwamba Arusha umoja  na  mshikamano  ni kipaumbele kwa kila mtu kwa sasa. 

Katibu Tawala huyo alipokelewa  Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk.John Pima,Watumishi  wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na viongozi wengine  ikiwa ni pamoja na kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Arusha.


PICHANI ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dk.Athuman Kihamia akisalimiana na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima wakati Katibu Tawala huyo alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa