• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Maambukizi ya VVU yaongezeka Jiji la Arusha kwa 2.8% kutoka mwaka 2020 hadi 3.1% mwaka 2021

Posted on: December 2nd, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Arusha

Wilaya ya Arusha imeonyesha maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI kuongezeka kutoka asilimia 2.8 mwaka 2020 hadi asilimia 3.1 mwaka 2021.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI  yanayofanyika Disemba Mosi kila mwaka, Mkuu wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda amesema Wilaya ya Arusha wanalo jukumu la kuendeleza mipango mizuri ya kukabiliana na ongezeko la UKIMWI.

Pichani: Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda akizungumza na Wananchi waliojitokeza katika Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani,Disemba Mosi, 2022. 

"Kwa jamii na  watanzania wanaendelea kupima na kujua afya zao na pale tunapobaini afya zetu ni vyema tufuate utaratibu uliowekwa na serikali na wale ambao wanatumia dawa wito wetu watumie kadri walivyoelekezwa na wataalamu wa afya,"amesema Mtanda.

Aidha amewasisitiza wananchi wa Wilaya ya Arusha wanaotumia dawa kujiepusha na kueneza maambukizi kwa watu wengine kwa makusudi kwani kufanya hivyo ni kinyume na sheria.

Mwakilishi wa watu wanaoishi na VVU Wilaya ya Arusha,Caroline Chami amesema katika wilaya ya Arusha mafanikio yapo ya kupambana na ugonjwa huo ikiwa jitihada zote zinatokana na mshikamano na juhudi za serikali na wadau mbalimbali.

Naye Kaimu  Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Hargney Chitukuro amesema kuwa wataendelea kutoa huduma za afya  na kuziboresha pamoja na kuzisogeza karibu na wananchi ili kila mwananchi aweze kufikiwa na huduma za afya.

"Kwani tunaona takwimu zinazotolewa za asilimia  1.9 ya maambukizi katika mkoa wetu,nina imani kwa huduma hizi zinazotolewa zitazidi kupungua,"amesema Chitukuro.

PICHANI: Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Hargeney Chitukuro akitoa neno katika Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani.

Sambamba na hilo Jiji la Arusha limetoa kadi za Bima  ya afya 100 katika kaya 20 ambazo hazina uwezo hivyo wataendelea kuangalia eneo hilo pamoja na kuwasaidia wengine.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa