• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Madarasa mapya kuongeza ufaulu Arusha

Posted on: December 27th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda amezindua vyumba 105 vya madarasa katika Halmashauri ya Jiji la Arusha tarehe 27/12/2021 kwakuwataka watumishi wa sekta ya elimu kuungana ili kupata mafanikio makubwa.

Tukio hili la kihistoria katika sekta ya elimu lililowakutanisha wadau wa elimu katika Shule ya Sekondari Themi kwaajili ya uzinduzi, Mhe. Mtanda ameeleza kua kuungana kwa watumishi wa sekta ya elimu kutawapa nguvu ya kufanya mambo makubwa na kuleta mafanikio makubwa katika sekta hiyo huku akiwataka watendaji wa serikali kua kitu kimoja ili waweze kuwahudumia wananchi.

“Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu katika sekta ya elimu ili tupate mafanikio makubwa ni lazima tuungane kwa pamoja…watendaji wa Serikali popote walipo, tuwe kitukimoja ili tuwahudumie wananchi” amesema DC Mtanda.

Aidha Mhe. Mtanda Amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. SSH kwa kundelea kutatua kero ya uhaba wa madarasa nchini huku akimpongeza mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Mkurugenzi wa Jiji, Afisa Elimu Sekondari, Madiwani na Wananchi kwa usimamizi bora uliopelekea kukamilika kwa majengo kwa wakati na Ubora.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maxmillian Iranqhe ameeleza kua fedha hizo zilizotolewa kwaajili ya ujenzi wa vyumba hivyo zimetumika vizuri huku akilipongeza Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kua yakwanza miongoni mwa Halmashauri zote kukamilisha ujenzi huo.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. John Pima ameeleza kua mwaka ujao wanafunzi waliofaulu wataanza kusoma kwa pamoja kwani kutakua na chaguo moja tu, huku akiwaomba wazazi kujianda na mwaka mpya wa masomo kwa kuwaandaa watoto wao kisaikolojia, kuwanunulia mahitaji muhimu ya shule huku akiwataka walimu kujiweka tayari kwa kazi.

Hatahivyo Afisa Elimu Sekondari Jiji la Arusha Bw. Valentine Makuka ameeleza kua ujio wa vyumba hivi vya madarasa vitapelekea kuongezeka kwa ufaulu na kukua kwa sekta ya elimu kwani katika darasa moja watakaa wanafuzi 50 tu huku wanafunzi wote waliofaulu wakipata nafasi ya kwenda shule kupata elimu.

Jiji la Arusha limepata jumla ya vyumba 105 huku 16 kati ya hivyo vikiwa ni maghorofa na Fedha zilizotumika katika Ujenzi huo zimetokana na mpango wa maendeleo kwa ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 ambapo shule zitakapofunguliwa 17/1/2022 na madrasa hayo yataanza kutumika kufundishia wanafunzi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa