• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MADIWANI ,WATENDAJI WA KATA WATAKIWA KUWA MABALOZI WA KUELEZEA MIRADI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA WANANCHI NA KUWAHIMIZA KUITUNZA.

Posted on: March 1st, 2021

Madiwani ,watendaji wa kata watakiwa kuwa mabalozi wa kuelezea miradi ya serikali ya awamu ya tano  kwa wananchi na kuwahimiza kuitunza .

Na Mwandishi wetu

MADIWANI wa Halmashauri  ya  Jiji la Arusha na watendaji wa kata katika Halmashauri ya Jiji la Arusha ,wametakiwa kuwa mabalozi wa kuwaelezea wananchi  miradi mikubwa  inayotekelezwa na Seriali mojawapo wa mradi huo ukiwa ni mradi wa maji ,Jijini Arusha   wenye thamani ya Tshs  billion 520  inayotekelezwa na Serikali chini ya uongozi wa Dk.John Pombe Magufuli .

Mradi huo unatekelezwa na kusimimiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha ambapo hadi sasa mradi huo katika Jiji la Arusha umefikia hatua nzuri na kukamilika kwa mradi huo kutaondoa tatizo la maji katika Jiji la Arusha na Mkoa wa Arusha  

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh. Kenan Kihongosi mara baada ya kumaliza ziara ya kukagua mradi wa uboreshaji wa huduma za maji safi na Usafi wa mazingira Jiji la Arusha anawataka Madiwani na watendaji kuwa mabalozi wa kuelezea mradi huo na kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya tano bila kusita  .

Kimsingi alisema kuwa anaona fahari kuona jinsi ilani ya Chama cha mapinduzi inavyotekelezwa na kudai kuwa hayo ni matunda ya uongozi bora na uliotukuka wa Mh. Rais Dk.John Pombe Magufuli

Mh.Kihongosi alisema namna pekee ya kumshukuru   Rais Magufuli ni kuelezea wananchi miradi inayotekelezwa chini ya uongozi wake na kuwahimiza kutunza miradi hiyo kwa faida ya kizazi kilichopo na kijacho .

 Meya wa Jiji Halmashauri ya  Jiji la Arusha Mh.  Maxmilillan Matle  Iranqhe akizungumza kwa niaba ya madiwani wenzake  amedai kufurahishwa na utekelezaji wa mradi wa Tshs Billion 520 na kwamba anaona wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha wakiondokana na adha ya maji baada ya mradi kukamilika .

 Mh. Iranqhe  alishukuru Serikali kwa kutambua adha ya wananchi na kuwezesha mradi huo wenye fedha nyingi ambapo anaomba  Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa mazingira kuhakikisha wanarudisha miundo mbinu pindi wanapomaliza kukamilisha mradi ili kuwezesha wananchi kupita katika maeneo yao bila adha.

ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA ARUSHA MH. KENAN KIHONGOSI AKIAMBATANA NA MADIWANI WA KATA 25, WATENDAJI WA KATA 25, WATAALAM WA AUWSA NA HALAMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA KATIKA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA TSH BILLION 520 NA KUWAJENGEA UELEWA VIONGOZI KUHUSU MRADI HUO.



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa