• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MEYA IRANQHE AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAZEE WA JIJI LA ARUSHA

Posted on: January 18th, 2023

Mwandishi Wetu 

Arusha. 

Msitahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maxmillian Matle Iranqhe amekubali kuwa mlezi wa Chama cha Umoja wa Wazee Jiji la Arusha ambapo pia aliweza kutoa milioni Moja ili kuinua mfuko wa wazee.

Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika Tembo Club jijini Arusha amesema kuwa wazee ni Tunu katika Taifa lolote ambapo ameahidi kushirikiana nao Ili kuwapatia dira na wazee wajue wako mikono salama.

Meya Iranqhe alisema kuwa Jiji la Arusha limejipanga ipasavyo kwani zipo huduma nyingi za wazee pia zimetolewa ikiwemo changamoto ya ukosefu wa vifaa vya ofisi ambayo tayari ilishatatuliwa.

Zaidi ya milioni 100 zimetumika Kwa ajili ya matibabu ya wazee jijini Arusha pia zaidi ya milioni 30 imetengwa Kwa ajili ya kuwapatia wazee bima.

Alisema lengo ni kuhakikisha wazee wanakuwa salama kwani ndani ya wazee wapo watu wenye taaluma mbalimbali hivyo yeye kama meya anadhamini vitu vilivyopo ndani yao.

Meya alisema kuwa wazee pamoja na uzee wanapaswa kuendelea kufanya kazi sambamba na mazoezi angalau hata kutembea kilometa 4 Hadi 5 hii inasaidia akili kufikiri sawasawa.

Alisema kuwa miongoni mwa wazee wana uwezo na wanamiliki majumba ambayo ni kama fursa kufuatia kwasasa Jiji la Arusha kupokea watalii wengi sana Huku lengo la Serikali likiwa ni kupokea watalii zaidi ya milioni 5 hii itasababisha hotel kujaa na ikiwa Kuna Mzee ana nyumba pia anweza kujipatia kipato ikiwa atweza kuikarabati ikaka sawa atweza kulaza watalii.

Aliwatia moyo wazee kukataa uzee kama ambavyo wanamkataa shetani na kukimbia vivyo hivyo wajitahidi kupambana na ni lazima mambo yao yatakuwa mazuri.

Katibu wa chama cha umoja wa wazee Jiji la Arusha (UWAJIA) Jiji la Arusha Salim Mvungi amesema kuwa changamoto kubwa zinazowakabili wazee ni chakula,afya,na makazi sambamba na wazee wengi kutajwa kuharibu maadili Kwa jamii vikiwemo vitendo vya ulawiti Kwa watoto,kuwapa watoto mimba, jambo ambalo linaathiri Taifa ikiwa hawatakemewa.

Aliiomba Kila Halmashauri kutenga asilimia 2 au 3 katika mfuko wa Halmashauri Kwa majiji yote Ili kuwasaidia wazee kwani wametumika katika serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mwenyekiti wa kamati ya Huduma za Jamii Jiji la Arusha, Isaya Doita ambaye pia ni diwani wa kata ya Ngarenaro amesema kuwa kutokana malalamiko ya dirisha la wazee kwenye vituo vya afya kutopewa kipaumbele ametoa agizo Sasa kuhakikisha wazee wanapatiwa huduma muhimu na kusikilizwa Kwa wakati. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa