• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Miradi Wilaya ya Arusha yavunja rekodi, yamfurahisha mkimbiza Mwenge Kitaifa

Posted on: June 20th, 2021

Miradi Wilaya ya Arusha yavunja rekodi, yamfurahisha mkimbiza Mwenge.

Na Mwandishi wetu 

KIONGOZI wa Mbio maalum za Mwenge  wa Uhuru Kitaifa   mwaka 2021  Luteni Josephine Paul Mwambashi  amesema kuwa miradi   11  ya Wilaya ya Arusha, Mkoa wa Arusha  aliyokagua  na kuitembelea  akiwa na wakimbiza Mwenge Kitaifa  ni ya viwango vinavyotakiwa na inauhalisia wa fedha zilizotumika. 

Miradi hiyo inathamani ya Tshs 554,605,185,578 ambapo  fedha kutoka Serikali kuu ni Tshs 552,250,660,184. Halmashauri  Tshs 2,124,047,393, Uwekezaji wa ndani  Tshs 228,978,000.00, Nguvu ya Wananchi  Tshs 1,500,000. 

Luteni Mwambashi akizingumza na wananchi  katika Viwanja vya Soko la Kilombero alisema kuwa amefurahishwa na utekelezaji wa miradi katika Wilaya ya Arusha iliyopo katika Halmashauri ya  Jiji la Arusha. 

Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge anavunja ukimya na kuelezea mradi wa kiwanda cha kuzalisha matofali  ulionzishwa na kutekelezwa na Jiji la Arusha kwamba mradi huo ni wa viwango na Halmashauri nyingine zinapaswa kuja kuiga Jiji la Arusha namna miradi kama hiyo inavyotekelezwa .

Alisema kuwa mradi huo utaleta manufaa kwa kuwa utaongeza mapato ya Halmashauri na kutoa ajira na kwamba fedha zilitumika kutekeleza mradi huo hazina mashaka kwa kuwa zina uhalisia. 

Mradi huo wa Matofali umetumia Tshs 93,805,000 ambapo mtambo umenunuliwa kwa Tshs 61,200,000 ,gharama za usimikaji wa mtambo Tshs 13,699,500,ujenzi wa ofisi na stoo Tshs 18,905,500. 

Pamoja na mambo mengine alieleza kufurahishwa na miradi mingine ya Halmashauri ya Jiji la Arusha ikiwemo miradi ya Ujenzi wa madarasa  na kutaka Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuendelea kutekeleza miradi kwa viwango vinavyotakiwa kama ilivyo kwa miradi mingine. 

Kimsingi alisema kuwa miradi inayoanzishwa ni kwa ajili ya maendeleo ya Wananchi kwamba inatakiwa kutekelezwa katika viwango vinavyotakiwa

 

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa