• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MIRADI YA MAENDELEO INAENDANA NA THAMANI YA FEDHA-KAMATI YA SIASA MKOA

Posted on: February 29th, 2024


Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Loy Thomas Ole Sabaya, wamepongeza utekelezaji wa miradi ya maendeleo  katika Halmashauri ya Arusha.

Pongezi hizo wamezitoa wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Katika ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Sekei kata ya Sekei jiji la Arusha, mradi ambao umetekelezwa kwa gharama zaidi ya shilingi milioni 584, fedha kutoka Serikali Kuu, kupitia mradi wa kuboresha mindombinu ya shule za sekondari SEQUIP.

Kamati hiyo, Wajumbe hao kwa pamoja wameupongeza uongozi wa halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kukamilisha ujenzi wa shule hiyo kwa wakati na hatimaye wanafunzi 95 waliopangiwa kuanza kidato cha kwanza wakiwa darasani, huku mradi huo ukiwa na viwango vya ubora vinavyoendana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali.

Mwenyekiti wa UWT CCM mkoa wa Arusha, Florah Zelothe, amewapongeza kwa usimamizi imara wa fedha za umma na hatimaye kukamilisha mradi kwa kipindi kifupi, mradi ambao thamani ya pesa na ubora wa mradi vinaonekana kwa macho na kuwa na mindombinu ya kisasa.

Aidha, wamewataka walimu, kuwasimamia wanafunzi ili kuitunza miundombinu na samani zake ili zidumu kwa muda mrefu pamoja na kutunza mazingira ya nje kwa kupanda miti, kuzunguka eneo lote la shule.

Awali, akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Mkuu wa shule ya Sekondari Sekei Mwl. Joshua Kisivan Mollel amasema, mradi huo umetumia shilingi milioni 584.2 ukijumuisha ujenzi wa jengo la utawala, vyumba nane vya madarasa, maabara tatu za masomo ya Sayansi ikiwemo Kemia,Biolojia na Fizikia, Maktaba, jengo la TEHAMA, pamoja na matundu nane ya vyoo vya wasichana na wavulana.

Amesema, Shule hiyo imesajiliwa kwa namba ya usajili S.6448 na tayari imepokea wanafunzi 96 wa kike 50 na wa kiume 46 na ufundishaji umeanza tangu Januari 08, 2024 kufuatia ratiba ya mwaka wa masomo ulioanza 2024.

Kamati ya Siasa Mkoa ilikagua miradi ya sekta ya Elimu na Afya huku ikiridhika na utekelezaji wa miradi unaoendana na thamani ya fedha.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa