• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MIRADI YA TASAF NIYA JAMII HUSIKA

Posted on: August 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa amesema miradi ya kupunguza umaskini Tanzania (TASAF) kushirikisha wanajamii husika ili wao wasema ni nini wanahitaji.

Maelekezo hayo, ameyasema alipokuwa akifungua kikao kazi cha kujenga uelewa kwa viongozi wa Wilaya ya Arusha na wataalamu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Mtahengerwa amesema, kupitia kikao kazi hicho Elimu itakayotolewa iweze kushushwa ngazi za chini ili nao waweze kuwa na uelewa wa pamoja katika kutekeleza miradi ya TASAF.

Akitoa taarifa ya miradi, mratibu wa TASAF  Mkoa Richard Nkini amesema Wilaya ya Arusha kwa miaka 3 kuanzia 2022 hadi 2024 ilipokea fedha Bilioni 4.7 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi na  walengwa.

Amesema, katika miaka hiyo 3 TASAF katika Wilaya hiyo imetoa fedha Bilioni 1.8 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi 26 katika sekta ya Afya na Elimu.

Vilevile, TASAF imetoka kiasi cha Bilioni 2.8 za kupunguza umaskini katika  kaya 4,864  na miradi 4 imeweza kutoa ajira za muda.

Nkini amesema, kukamilika kwa miradi ya TASAF kumesaidia huduma za afya kusogezwa karibu na wananchi.

Pia, miradi imewasaidia Kinamama na Watoto kuhudhuria Kliniki na hivyo kupata ushauri bora wa kitaalamu.

Amesema, faida nyingine ni kuboreshwa kwa miundombinu ya Elimu na Afya na pia kutengeneza ajira za muda kwa wananchi.

Nae,Mkurugenzi wa miradi kutoka TASAF  Paulo Kijazi akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji  wa TASAF, amesema miradi ya TASAF iliyobaki imalizike katika ubora na kuweza kutoa nafasi yakupata mradi mwingine.

Kikao kazi cha TASAF kilijumuisha viongozi wa Wilaya, Wataalamu wa TASAF kutoka makao makuu na Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa