• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mkoa wa Arusha waadhamisha Miaka 61 ya Uhuru, wamshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa shule.

Posted on: December 9th, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Arusha. 

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Injinia Richard Ruyango amemshukuru Rais Samia Hassan Suluhu kwa kutoa Zaidi ya Shilingi milioni 900 kwaajili ya ujenzi wa Madarasa. 

Mhe. Ruyango alitoa shukrani hizo leo Tarehe 09, Disemba 2022 Jijini Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella katika  mdahalo wa Maadhimisho ya  Siku ya Uhuru wa miaka 61 lililofanyika Chuo Cha Ufundi Arusha(Arusha Technical College) na kushirikiana viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama, Wananchi pamoja na wanafunzi wa chuo cha ATC.

Alisema utoaji wa fedha hizo unawezesha mabweni kujengwa ili kuondoa mkimbizano wa ujenzi wa mabweni na madarasa. 

Alipongeza  Serikali ya Mkoa wa Arusha kwa kuwezesha wananchi kupata matibabu bure katika hospitali ya Mount Meru na kuongeza mafanikio katika sekta mbalimbali.

Aliwapongeza viongozi wa dini kwa kuhubiri masuala ya amani ikiwemo kuliombea Taifa katika kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na amani.

Naye  mzee Emmanuel Munga alitoa rai kwa vijana kutunza amani na kujua historia ya nchi na lazima wajue uzeeni ni hazina na ni tunu ya taifa na kuongeza kuwa historia ni muhimu.

Huku mzee Nyanda alisema wakati wa uhuru mwaka 1961 alikuwa darasa la nne na kuipongeza serikali kwa kuondoa kodi ya kichwa ilikuwa ikiwafanya wananchi kukimbia

Aidha, Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha, Dkt. Musa Chacha alitoa rai kwa watanzania kulipa kodi ili kuwezesha miradi mbalimbali kutekelezwa na kuishukuru serikali kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa mabweni.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Hargeney Chitukuro alisema alisema hivi sasa Jiji la Arusha lina shule za msingi 168 zikiwemo za serikali na taasisi binafsi, sekondari lakini pia akigusia Jiji hilo kuwa safi sanjari na dampo la kisasa.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa