• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MKURUGENZI AKABIDHI MSAADA WA MIPIRA KWA TIMU YA AFC

Posted on: March 4th, 2021

Mkurugenzi akabidhi msaada wa mipira kwa Timu ya AFC .

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI wa Jiji la Arusha Dk.John Pima amekabidhi  mipira mitano kwa uongozi wa timu ya  mpira ya  Arusha Football Club ikiwa  jitihada za kuunga mkono michezo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha mpira wa miguu ukiwa miongoni mwa michezo hiyo. 

Akikabidhi  mipira hiyo kwa kiongozi wa timu ya AFC kocha  Elly Kisanga  alisema kuwa michezo ni burudani, ajira na kwamba Jiji la Arusha limepania kuhakikisha michezo inaendelezwa ikiwa ni pamoja na kuibua vipaji vya wachezaji.

Dk. Pima alisema viongozi wa Jiji la Arusha ambao ni Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh.Kenan Kihongosi ,Meya wa Jiji la Arusha Maxmillian Matle Iranqhe  ,Mbunge wa Jimbo la Arusha Mrisho Gambo wanajali na kuthamini michezo na kuwa nia ni kuona Halmashauri ya Jiji la Arusha inafanya vizuri kwenye michezo  mbali mbali.

Kimsingi alisema Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk.John Pombe Magufuli anapenda michezo na anatamani kuona Tanzania inafanya vizuri kwenye michezo kwamba watendaji wa Serikali jukumu lao ni kuhakikisha michezo husika inafanikiwa bila kikwazo. 

Kwa upande wake  Kocha wa Timu ya mpira Arusha (AFC) Elly Kisanga alimshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Arusha na kuomba kuendelea kuwasaidia bila kuchoka na kuwaomba wadau wengine wa michezo kuunga jitihada alizoanza Dk.John Pima za kusaidia timu hiyo. 

Kisanga alisema kuwa wako tayari kupokea msaada wowote kutoka kwa wadau ikiwa ni pamoja na chakula na kudai kuwa wakiwezeshwa watafanya vizuri na kuleta heshima ya mchezo wa mpira katika Jiji la Arusha.

Halmashauri ya Jiji la Arusha ni miongoni mwa Halmashauri ambazo zipo katika Mkoa wa Arusha ambao unahimiza michezo na tayari michezo mbali mbali imeanza lengo ikiwa ni kuibua vipaji vya wachezaji na hatimaye kuwapatia ajira kupitia michezo.


PICHANI MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA DK. JOHN PIMA NA AFISA MICHEZO JIJI LA ARUSHA NDG. BENSON MANENO WAKIKABIDHI MSAADA WA MIPIRA KWA TIMU YA ARUSHA FOOTBALL CLUB (AFC)


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa