• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mkurugenzi ,Mkuu wa Wilaya waongoza zoezi la Ujenzi vyumba vya madarasa .

Posted on: December 22nd, 2020





Mkurugenzi ,Mkuu wa Wilaya waongoza zoezi la Ujenzi vyumba vya madarasa .


Na mwandishi wetu


Mkuu wa Wilaya ya Arusha akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha wameongoza zoezi la Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari Moivaro


Viongozi hao wakizungumzia zoezi hilo wamesifu Wananchi wa Jiji la Arusha na vijana waliojitokeza kushiriki zoezi hilo la kujitolea na kwamba umoja na nguvu ya pamoja itawezesha Ujenzi wa madarasa kwa wakati na kuwezesha wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza bila kikwazo


Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima anasema zoezi la Wananchi na vijana wazalendo la kujitolea kujenga shule za Sekondari za Jiji la Arusha titaokoa zaidi ya Tshs million 800 ambazo angelipwa mkandarasi katika Ujenzi wa vyumba vya madarasa .


Kimsingi alisema kuwa Wananchi wa Jiji la  Arusha wanaunga jitihada za Mh m Rais  Dk.John Pombe Magufuli za kuwaletea wananchi wake maendeleo  bila kutegemea wafadhili .


Alisema kuwa Ujenzi huo utaendelea katika shule nyingine za Jiji la Arusha ambazo  ni Sekondari ya Elerai ,Terrat ,Ungalimited .


Aliongeza kuwa shule ya sekondari Ungalimited ni shule Mpya inayoanzishwa  kwamba anapongeza jitihada za Mbunge wa Jimbo la Arusha za kufanya jitihada kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na kupata baadhi ya vifaa vya Ujenzi katika kata ya Ungalimited .


 Mh.Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi wakizungumzia zoezi hilo alisifu Wananchi ,vijana walijitokeza katika zoezi hilo  na kudai kuwa moyo na nia walionyesha ni ya kizalendo .


Alisema kuwa inatia moyo kuna jitihada za Rais Dk.John Magufuli zinaungwa Mkono kwa vitendo na kuwataka Wananchi kuendelea kujitokeza kusaidiana na mafundi katika shule zenye Ujenzi .
 
Pamoja na mambo mengine  alisema kuwa kwa umoja na nia ya dhati ya uongozi wa Jiji la Arusha agizo la Waziri mkuu litatekelezwa kwa wakati .






















ReplyForward





























Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa