• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mkutano wa kawaida wa baraza la Madiwani robo ya nne mwaka wa Fedha 2018/2019 Halmashauri ya Jiji la Arusha

Posted on: August 9th, 2019

Halmashauri ya Jiji la Arusha leo tarehe 09/08/2019 imeketi kikao cha robo ya nne kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 ambapo kwa mujibu wa kanuni kimepitisha taarifa za shughuli za maendeleo pamoja na kupokea taarifa kutoka katika Taasisi mbalimbali za serikali zinazotoa huduma kwa wananchi wa Jiji la Arusha.

 Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari Arusha pia kiliambatana na zoezi la kumchagua Naibu Meya wa Jiji  na uteuzi wa kamati za kudumu za Halmashauri,  zoezi la uchaguzi wa Naibu Meya hufanyika katika kila robo ya nne ya kikao cha baraza la madiwani ambapo Mhe. Paul Mattysen, Diwani wa kata ya Moshono alifanikiwa kupita katika uchaguzi huo kwa mara ya pili.

Akifungua kikao hicho Mstahiki Meya wa jiji la Arusha ambaye ni Mwenyekiti wa baraza Mhe. Kalisti Lazaro Bukhay amepongeza juhudi zinazofanywa na Halmashauri katika kuwaletea wananchi maendeleo hususan harakati za Mkurugenzi wa jiji katika ukusanyaji na udhibiti wa mapato.

Sambamba na hayo Mhe. Kalisti  aliendesha zoezi la uchaguzi wa wenyeviti  wa kamati za kudumu za Halmashauri ya Jiji la Arusha ikiwemo Fedha na Utawala, Elimu, Maadili na Uchumi kwa mwaka huu mpya wa Fedha wa 2019/2020.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Arusha  Dkt. Maulid Suleiman Madeni alipokuwa akitoa neno la shukrani alisema kuwa  ushirikiano baina ya Viongozi, Madiwani na Watumishi ndio msingi wa kusogeza mbele gurudumu la maendeleo kwa wananchi wa Jiji la Arusha.

“Ningependa siku moja katika operesheni za ukusanyaji na udhibiti wa mapato ninazoziendesha niambatane na viongozi wa kisiasa pamoja na madiwani ili sote kwa pamoja tuweze kulinyanyua jiji hili kiuchumi ”  alisema Dkt. Madeni

Miongoni mwa  taasisi za kiserikali zinazotoa huduma kwa wananchi wa Jiji la Arusha zilizofanikiwa kuwasilisha  taarifa ya utekelezaji ni pamoja na Wakala wa barabara za  mijini na vijijini (TARURA),  Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania (TRA) pamoja na taasisi ya kifedha ya NMB.



Matukio mbalimbali ya mkutano wa baraza la madiwani

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa