• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MKUU WA MKOA WA ARUSHA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA UDHIBITI UBORA WA ELIMU

Posted on: November 8th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo ametembelea jengo jipya la ofisi ya udhibiti ubora wa Shule Jijini Arusha iliyopo Kata ya Moshono katika ziara yake ya kutembelea miradi iliyofanyika tarehe 5-7 Novemba 2019.

Katika ziara hiyo Mhe.Gambo aliambatana na mwenyeji wake mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Mhe.Gbriel Daqarro, kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Sifael Kulanga, viongozi wa kisiasa wa chama cha mapinduzi ngazi ya mkoa na wilaya pamoja na wataalamu wa Jiji la Arusha.

Akizungumza katika ziara hiyo kaimu mkuu udhibiti ubora wa Elimu kanda ya Kaskazini Magharibi Bw. Festus Stephano amesema ofisi za udhibiti ubora zipo 100 hapa Nchini na katika mkoa wa Arusha zipo ofisi nne katika Halmashauri nne ikiwemo Jiji la Arusha.

Jengo hilo ambalo limegharimu zaidi ya shilingi million 152 za kitanzania kutoka serikali kuu na ujenzi wake ulianza mwezi Juni mwaka 2019 na kumalizika mwezi Oktoba 2019 ambapo mkuu wa mkoa amekagua na kuridhishwa na ujenzi huo kwani umezingatia viwango vinavyohitajika.

Mkuu wa mkoa wa Arusha  amempongeza waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako kwa kusimamia vizuri wizara ya Elimu.

“Nimshukuru kwa kuhakikisha kwamba maswala ya Elimu kwenye kudhibiti ubora wa Elimu yanakwenda sawa ” alisema Gambo.

Gambo amemshukuru Mhe Rais wa Jamuhuri ya muungano waTanzania kwa kujikita kwenye mpango wa Elimu nakusema pamoja na kuanzisha utaratibu wa Elimu bure nchini, ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za udhibiti ubora wa Elimu katika mkoa wa Arusha.

“Lengo la Mhe. Rais ni kila mtoto aende shule lakini apate Elimu iliyo bora kwa kuzijengea uwezo taasisi  ambazo zinasimamia  ubora wa Elimu alisema mkuu wa mkoa wa Arusha”.


Mwisho.



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa