• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mwenge wa Uhuru kupokelewa Juni 22, 2022 Jijini Arusha, Zaidi ya Miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya Sh. billioni 2.7 kuzinduliwa.

Posted on: June 20th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya ARUSHA Mhe. Said Mtanda  amesema kuwa miradi saba yenye thamani ya Sh. bilioni 2.7 fedha kutoka Serikali kuu, Sh. Milioni 200 fedha za mchango wa Jiji la Arusha na Sh. Milioni 445.7 fedha kutoka Sekta binafsi itazinduliwa na mwenge wa uhuru katika Jiji la Arusha.

Mhe Mtanda ameyasema hayo leo Juni 20, 2022 alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari kuelekea Ujio wa Mwenge wa Uhuru na Waandishi ambapo Mwenge huo utazindua mradi wa Maji uliofadhiliwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha (AUWSA ) katika  Zahanati ya Terrat ambapo mamlaka hiyo imeweka kizimba  maalum cha maji kilichoboreshwa.

Akizungumza na wandishi wa Habari juu ya ujio wa mwenge huo Jijini Arusha, Mhe. Mtanda alisema mwenge huo  utaweka jiwe la msingi mradi wa Afya kituo Cha Afya cha mkonoo sanjari na ukaguzi wa warahibu(soba house)eneo la Njiro

"Nawakaribisha wananchi wote wafike katika maeneo tofauti ambayo mwenge utakwenda kuzindua miradi hii,pia na mwenge huu utafika Jiji la Arusha Juni 22 na utapokelewa Viwanja vya Magereza ukitokea Wilayani Monduli na Jiji tutaukimbiza kwa siku moja, hivyo wananchi wajitokeze kwa wingi"

Alisema pia utazindua barabara ya Themi viwandani eneo  katika mradi wa kutengeneza chakula cha mifugo sanjari na kutembelea mradi wenye kuongezea thamani za mazao ya  nyuki eneo la nanenane.

Baada ya uzinduzi huo mwenge huo utakesha eneo la viwanja vya Kilombero ambapo kutakuwa na taarifa mbalimbali na risala ya utii kwa Rais, Samia Hassan Suluhu itasomwa ikiwemo burudani katika vikundina wasanii mbalimbali.



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa