• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mwenyekiti wa chama cha CCM mkoa wa Arusha Mhe. Loata Erasto Sannare awataka watumishi wa Serikali kuwa chachu ya maendeleo ya wananchi kwa kusimamia kikamilifu miradi ya wananchi

Posted on: October 12th, 2018

Ametoa rai hiyo mbele ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Suleiman Madeni wakati alipotembelea ofisi za makao makuu ya jiji leo Tarehe 11/10/2018 kwa ajili ya kumsalimia mkurugenzi huyo pamoja kumjulisha juu ya mpango wa ziara ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Arusha  katika Jiji hili  kwa ajili ya kukagua thamani ya fedha katika miradi ya wananchi iliyoanzishwa  na  kusimamia utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Mwenyekiti huyo amempongeza Dr. Madeni  kwa opereseni yake ukusanyaji wa mapato aliyoianzisha kwani anaamini mapato hayo yanakwenda kusaidia kuboresha huduma za wananchi na ameelezea mikakati ya ziara za chama kuzitembelea Halmashauri zote katika Mkoa wa Arusha ikiwemo Halmashauri ya Jiji kuhakikisha miradi iliyoanzishwa inatekelezeka kikamilifu kwa ajili ya kuwasaidia wananchi.

“ Miongoni Mwa makosa  yaliyofanywa na viongozi wa chama  kipindi cha nyuma ni kuwaachia watendaji wa serikali peke yao katika kusimamia miradi ya wananchi matokeo yake  wanapotokea watendaji wasio waadilifu tunakwama kiutendaji pindi tunapoenda kukukatana na wa wananchi kwani tumeshindwa  kutekeleza ahadi tulizowapa” alisema Mhe. Sannare

“Sisi kama chama hatutavumilia kuona kiongozi yoyote  wa serikali anakwamisha jitihada za mwenyekiti wetu wa chama cha cha mapinduzi  Dr. John  Pombe Magufuli katika kutekeleza ahadi za kwa wanachi, tutahakikisha tunapita kila uchochoro kunatatua changamoto zote zinazowakabili  ” aliongeza mwenyekiti huyo

Naye mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr. Maulid Suleiman Madeni alimshukuru Mhe. Sannare kwa kumtembelea na kumuahidi kuwasimia vizuri watendaji walio chini yake katika kuhakisha shughuli zinazotekelezwa katika halmashauri yake zinakuwa chachu kwa wananchi hasa wa hali ya chini.

“Agenda kubwa iliyopo katika nchi yetu sasa hivi ni ukusanyaji wa mapato, nichukue fursa hii kukuomba wewe pamoja na  viongozi wengine wa vyama tushirikiane kuwahamasisha wananchi juu ya umuhimu wa kodi, na itapendeza katika operesheni zangu za ukusanyaji wa mapato ninazoziendesha niwe naambatana na viongozi wa vyama vyote katika kuhamasisha ulipaji wa kodi na ukusanyaji wa ushuru kwani maendeleo ya wananchi wetu hayangalii itikadi za dini wala za vyama vya siasa ” Alisema Dr. Madeni

Dr. Madeni aliongeza kwa kusema kuwa yupo tayari kwa ziara ya chama katika halmashauri yake na kuahidi kutoa ushirikiano wa hali na mali katika kuhakikisha zoezi linafanikiwa kwa maslahi ya wananchi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa