• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS TAMISEMI MHE. MWITA WAITARA APONGEZA UONGOZI WA MKOA, WILAYA NA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA KWA KUSIMAMIA VYEMA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

Posted on: January 8th, 2020

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara amefanya ziara Jijini Arusha mapema leo Tarehe 8 Januari 2020 kutembelea shule ya Sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo Kata ya Olasiti akiambatana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Mashaka Gambo, Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro, pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Maulid Madeni.

Akizungumza katika ghafla hiyo Mhe. Mwita Waitara amepongeza uongozi wa Mkoa, Wilaya pamoja na Halmashauri kwa umoja wa kusimamia na kuendeleza vyema miradi ya maendeleo hususani katika sekta ya elimu Jijini Arusha. Pia amewapongeza wadau wote waliotoa mchango katika ujenzi wa shule hiyo kwani kwa kufanya hivyo wamemuuga mkono Mhe. Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika kuimarisha Sekta ya Elimu hapa nchini.

Mhe. Waitara  amesema kwa niaba ya Serikali amefurahishwa na kitendo cha zaidi ya Wanafunzi 4000 wa kidato cha kwanza katika Mkoa wa Arusha waliokua na ukosefu wa vyumba vya madarasa kufanikiwa kuanza masomo kwa muda, ambapo paka kufikia Tarehe 6 Januari 2020 wote walianza masomo.

Hata hivyo Mhe. Waitara  amewaagiza TARURA ngazi ya Mkoa na Wilaya kurekebisha barabara ya kuingia shule hiyo ili kurahisisha usafiri kwa wanafunzi na Walimu kwani shule hiyo imejengwa kwa gharama kubwa na kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu hivyo miundo mbinu pia iwe ya kuridhisha.

Pia Mkuu wa Mkoa Mhe. Mrisho Gambo amemalizia kwa kusema kua ataendelea kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Arusha katika harakati za kujenga mabweni ya shule hiyo pia ameeleza kuwa serikali imeelekeza nguvu katika kuzalisha Wanasayansi wengi zaidi hivyo watu wasidhani kwamba shule bora ni Shule za binafsi tu bali pia kwa upande wa Serikali kuna shule nzuri ikiwemo Shule ya Sekondari ya Mrisho Gambo amesisitiza kua shule hiyo siyo ya Mkoa bali ni ya Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa