• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO AFURAHISHWA NA UMOJA WA VIONGOZI WA ARUSHA, ASIFU BONANZA LA MICHEZO, ADAI ARUSHA NI MFANO WA KUIGWA.

Posted on: February 27th, 2021

Naibu Waziri afurahishwa na Umoja Viongozi Arusha,asifu Bonanza

Na Mwandishi  wetu

Naibu Waziri Habari ,Sanaa na utamaduni na Michezo Mh. Abdallah Ulega ameeleza kufurahishwa na umoja wa Viongozi wa Mkoa wa Arusha na wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kuungana kushiriki Michezo na Bonanza .

Wananchi hao wameungana pamoja kushiriki Michezo iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi kwa kushirikiana na viongozi wenzake na wadau wa Michezo .

Mh.Ulega amesema  kuwa suala la michezo lipo kwa mujibu wa ilani ya Chama cha mapinduzi imeagiza wa Viongozi katika  Tawala za Mikoa waweze kuandaa mabonanza  ikiwa ni kuwaletea watanzania pamoja na kwamba Arusha wamevunja rekodi .

Amewataka Viongozi wa Arusha kuendelea na umoja huo kwa faida ya maendeleo ya wakazi wa Arusha na kupuuza watu wenye  kubeza umoja jitihada hizo .

Mkuu wa Mkoa Arusha Mh.Idd  Kimanta akizungumzia Michezo hiyo amesema kuwa Viongozi wa Arusha wanatekeleza maagizo ya Viongozi wa juu serikalini pamoja na Ilani ya Chama cha Mapinduzi inayohimiza Michezo ikiwa ni kujenga umoja.

Alisema wakazi wa Mkoa wa Arusha na Viongozi wameungana kwa pamoja kuijenga Arusha na kwamba njia mojawapo yakuungana  ni kupitia Michezo .

Kwa upande wake ,Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh.Kenan Kihongosi akizungumzia Michezo na Bonanza hilo ameshukuru wadau wa Michezo na Wananchi wa Arusha kushiriki kwa wingi katika Michezo na Bonanza hilo .

Anasema kuwa Michezo hiyo ni endelevu nakuwa nia ni kuibua vipaji vya wachezaji wa Michezo mbali mbali na hatimaye kuwawezesha kupata ajira kupitia vipaji vyao .

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iraghe na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dk.John Pima wakizungumza katika Bonanza hilo ,walisema kuwa jukumu lao kama Viongozi ni kuwaletea Wananchi maendeleo na kwamba Michezo ni miongoni mwa  vitu vinavyoleta maendeleo .

Wanasema kuwa Arusha kwa sasa ni kazi na kuwa wamepania kuwaletea wananchi maendeleo kwamba Michezo ni mwanzo wa kuonyesha nia njema ya kuletea wananchi maendeleo .

Bonanza hilo lina  Michezo 24 ikiwa na mpira wa miguu unaoshirikisha timu ya washabiki wa Simba na Yanga na washindi watazawadiwa Ng'ombe  na kupewa medali za ushindi na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Abdallah Ulega.


MATUKIO KATIKA PICHA YANAONESHA UHALISIA WA WASHIRIKI WA BONANZA NA MICHEZO WAKIWA KATIKA PICHA WAKATI WAKICHEZA NA BAADA YA KUMALIZA MAZOEZI YA KUKIMBIA NA KUCHEZA




Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa