• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Polepole awataka Maafisa Watendaji wa Kata nchini kushiriki katika vikao vya kamati za siasa za kata na kuwasilisha taarifa za maendeleo

Posted on: February 7th, 2019

Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg.  Humphrey Polepole amewataka Maafisa watendaji wa Kata kote nchini kushiriki katika vikao vya kamati za siasa za kata wakiambatana na watumishi wote katika kata zao  pamoja na wataalamu kutoka katika taasisi zinazotoa huduma kwa wananchi ikiwa ni pamoja na  kuwasilisha taarifa za maendeleo za kata husika.

 Agizo hilo amelitoa leo Tarehe 07/2/2019 katika ziara yale ya kichama Jijini Arusha pamoja na kusherehekea miaka 42 ya kuzaliwa Kwa chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo alikagua ujenzi wa miradi ya huduma za wananchi ikiwemo ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arusha Mjini iliyopo kata ya Engutoto, Ujenzi wa barabara ya Sombetini – FFU kipande cha kilometa  2.1, Ujenzi wa Madarasa manne Shule ya Msingi Murriet Darajani, ujenzi wa Maabara mbili katika Shule ya Sekondari Arusha Terrat pamoja na kuongea na Halmashauri Kuu za kata ya Engutoto, Lemara, Murriet, Terrat na Olasiti.

Polepole amesema kuwa ili kuimarisha ubora wa huduma za kijamii ni lazma watendaji wa kata nchini kote kushiriki vikao hivyo wakiambatana na watumishi wote katika kata sambamba na wataalam wa taasisi zinazotoa huduma za jamii ili kuweza kutoa taswira nzima ya maendeleo yanayofanyika katika kata husika huku wakiwa na majibu ya  maswali na changamoto zote zitakazoibuliwa na wananchi.

“Watumishi wote nchini wanafanya kazi chini ya serikali ya CCM ambayo ndio ipo madarakani hivyo ni wajibu wenu kuhakikisha ilani ya chama mnaisimamia kikamilifu katika kuwaletea wananchi wote maendeleo bila kujali itikadi zao za vyama, kisiasa na hata za kidini” alisema Polepole.

“Nikiwa kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi katika Mkoa  huu wa Arusha nichukue fursa hii kuupongeza uongozi wa Mkoa, ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Halmashauri ya Jiji la Arusha pamoja na wataalam wake kwa matokeo mazuri ya mitihani ya Darasa la Saba, hakika mnanipa faraja na ninajivunia kuwa mlezi wenu” alongeza polepole.

Naye mmoja wa wakandarasi kutoka kampuni ya Sinohydro inayosimamia ujenzi wa barabara ya Sombetini – FFU kipande chenye urefu wa kilometa 2.1 chini ya Mradi wa Ukuzaji wa Miji na Majiji (TSCP) awamu ya tatu amesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu kipande hicho cha barabara kitakuwa kimekamilika kwa kiwango cha lami na wananchi wataanza kunufaika na barabara hiyo.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa